Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,442
Huyu jamaa hajakipata alichokuwa anakitafuta? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimekaa na kujiuliza kwa nini huyu mnyama pendwa Nguruwe a.k.a mbuzi katoliki a.k.a kitimoto hapikwi supu mtaani kama ilivyo kwa ng'ombe ,mbuzi na wanyama wengine??View attachment 1652134
Mafuta yote hayo unatafuta nini mzee ndio mana ina rostiwa ili angalau mafuta ya kauke na kupungua na ukichoma maduta yanayeyuka yote na inaweza isiiveNimekaa na kujiuliza kwa nini huyu mnyama pendwa Nguruwe a.k.a mbuzi katoliki a.k.a kitimoto hapikwi supu mtaani kama ilivyo kwa ng'ombe ,mbuzi na wanyama wengine?
Mbona ipo kibao tu kitaa, tena nakushauri tafuta upige supu ya pua ile ya kitimoto aisee hautojutia mkuu!!Nimekaa na kujiuliza kwa nini huyu mnyama pendwa Nguruwe a.k.a mbuzi katoliki a.k.a kitimoto hapikwi supu mtaani kama ilivyo kwa ng'ombe ,mbuzi na wanyama wengine?
Kwanini ngano ya Bakhresa haipikiwi ugali?Nimekaa na kujiuliza kwa nini huyu mnyama pendwa Nguruwe a.k.a mbuzi katoliki a.k.a kitimoto hapikwi supu mtaani kama ilivyo kwa ng'ombe ,mbuzi na wanyama wengine?
Hadi mishikaki yake ipo mkuuMh hv akipikwa supu ananoga kweli tofauti na kukaangwa?
BalaaNilikuta jamaa anapiga supu ya kitimoto na maziwa mgando asubuhi mapemaaaa Mbeya hukoooo ππππ
Ngoja Kitimoto na kitimotojikoni waje wakujibu wenyeweNimekaa na kujiuliza kwa nini huyu mnyama pendwa Nguruwe a.k.a mbuzi katoliki a.k.a kitimoto hapikwi supu mtaani kama ilivyo kwa ng'ombe ,mbuzi na wanyama wengine?