Tatizo la ajira linazidi kuwa janga kubwa sana afrika na dunia na soko la ajira zitazidi kuwa baya zaidi miaka kadhaa baadaye baada ya dunia kuendelea kuamini juu teknolojia ya roboti kuliko binadamu katika kufanya kazi kwa weledi , kulalamika tu kwamba tumesoma na hakuna ajira huku tukiendelea kukaa tu nyumabani haitoshi wala kutatua tatizo lenyewe
Sisi kama vijana tunapaswa kuondoa uzembe huu kwa kufanya jitihada za kuondokana na tatizo hili badala ya kusubiri matangazo ya ajira kutoka Serikalini ama sekta binafsi, dawa ya kuondokana na tatizo sugu la ajira ni kujiajiri wenyewe , lakini kabla ya kujiajili wenyewe kuna jambo muhimu tunapaswa kufanya, kujiuliza maswali yafuatayo
Unapokuwa na ndoto ya kujiajiri katika sekta binafsi basi ijue kiundani na unawezaje kuijua kiundani?
Njia ya kwanza kabisa hakikisha unasoma nakala mbalimbali zinazohusiana na diara yako , iwe vitabu ama kupitia internet ila jambo la pili na kubwa zaidi nenda kaombe kujitolea kwenye taasisi yeyote kubwa inayofanya vizuri katika idara hiyo ili kupata muda wa kujifunza kwa vitendo , kuwajua wateja na tabia zao , kuongeza wigo wa network yako pindi utakapo kuwa tayari kujiajili mwenyewe.
Kampuni nyingi binafsi na kubwa zina programu maalumu ( internship ) kwaajiri ya watu wanaotaka kujitolea kufanya kazi katika taasisi zao , na wengi wao hufika mbali zaidi na kuwalipa , ktk program hizo utajifunza mambo mengi sana kama vile:
Sisi kama vijana tunapaswa kuondoa uzembe huu kwa kufanya jitihada za kuondokana na tatizo hili badala ya kusubiri matangazo ya ajira kutoka Serikalini ama sekta binafsi, dawa ya kuondokana na tatizo sugu la ajira ni kujiajiri wenyewe , lakini kabla ya kujiajili wenyewe kuna jambo muhimu tunapaswa kufanya, kujiuliza maswali yafuatayo
- Je, tunaijua sekta binafsi vizuri?
- Katika sekta binafsi ni idara gani ungependa kujiajili huko mfano sekta ya afya, usafirishaji na uchukuzi, fasheni, kilimo, teknlojia, udalali, uuzaji wa chakula nk?
- Lakini je unaifahamu sekta hiyo vizuri? maana kila sekta ina lugha zake kwa kutoijua vizuri kunaweza kukufanya ujifunze kwa gharama kubwa ambayo inaweza hata kuharibu misingi ya maisha yako?
Unapokuwa na ndoto ya kujiajiri katika sekta binafsi basi ijue kiundani na unawezaje kuijua kiundani?
Njia ya kwanza kabisa hakikisha unasoma nakala mbalimbali zinazohusiana na diara yako , iwe vitabu ama kupitia internet ila jambo la pili na kubwa zaidi nenda kaombe kujitolea kwenye taasisi yeyote kubwa inayofanya vizuri katika idara hiyo ili kupata muda wa kujifunza kwa vitendo , kuwajua wateja na tabia zao , kuongeza wigo wa network yako pindi utakapo kuwa tayari kujiajili mwenyewe.
Kampuni nyingi binafsi na kubwa zina programu maalumu ( internship ) kwaajiri ya watu wanaotaka kujitolea kufanya kazi katika taasisi zao , na wengi wao hufika mbali zaidi na kuwalipa , ktk program hizo utajifunza mambo mengi sana kama vile:
- Jinsi taasisi kubwa zinavyoundwa (company structures)
- Jinsi ya kuajiri
- Mifumo wanayotumia, namna ya kusimamia matawi na wafanyakazi waliombali
- Jinsi ya kutengeneza mahusiano ya kudumu kati ya mteja na biashara yako
- Jinsi biashara zinavyolipa kodi
Upvote
11