Kwanini ni vigumu sana kupata "A" katika vyuo vyetu? Tunawahujumu wanafunzi wetu?

Kama seminar ni sehemu ya kuelewa mbona seminar leader akifika anatupiga Quiz kila tuendapo Seminar yaani kati ya vipindi vitano nilivyohudhuria vitatu katupiga Quizes, semister ikaisha na hivyo vipindi viwili alitumia kutupiga majungu na mashushu! Kuna matatizo makubwa sana hasa kwa walimu wa accounting!
 

If you won't mind naomba tofauti ya college na university
 

Umenikumbusha kisa cha mzungu mmoja toka eastern europe tulisoma nae masters hapo mlimani, tulikuwa tunamgaragaza sana darasani, ila alama zake za bachelor zilikuwa zinatisha kweli bachelor aliisomea kwao huko huko
 
Wakati nipo kidato cha tatu shule ya Aldersgate tena nikiwa kwenye mtihani wa Historia mwezi Novemba,
alikuja mzungu ambaye kwao huko Marekani ni Mwl wa sekondari,
akaingia darasani na kupewa kopi ya mtihani tuliokuwa tukiufanya akalalamika sana na kusema mtihani mgumu sana kwa wanafunzi wa kidato cha tatu,
akabanabana pua wewee wanaf. Wakamuona hana maana yeyote. Katika mtihani huo swala mojawapo tuliloulizwa ni

Precisely explain the modes of production and account for their characteristics'

ndo muone wenzetu wanapata 'A' kwa mitihani tuifanyayo pia?
Ninachokifahamu wenzetu akisoma Bailojia ni mwanzo mwisho tena anakuwa specific labda Blood cells tu basi, ukimuuliza nutrition ama growth ugomvi. Na kuna mwingine alikuja anafahamu Algebra tu ukimuuliza circle ama Trig mnakosana. Yapo mambo mengi sana hawawezi kufanana nasi kielimu.
 
If you won't mind naomba tofauti ya college na university

University is an institution where students study for degrees and where research is done
College is an institution where students study after they have left school.


Hivi ushawahi kusikia Phd inatolewa kwenye college?? Kwa mimi ninavyojua nchi nyingi za wenzetu first degree ZOTE zinatolewa kwenye college...this simply to avoid ile kitu uchakachuaji toka kwa mwalimu wako wa darasani. Au mwenzangu unaelewaje?
 
Elimu ya bongo nouma waulize wa nje wanaokuja xoma hapa
 
Nimeguswa sana na hii mada,

Kwa ufupi hali ya Tz ni mbaya sana.....Kuna mwalimu wangu mmoja alikuwa analalamikia sana suala hili kwamba walimu wanaua Watanzania kwa makusudi au bila kujua! Alinambia kuwa enzi za 1980, B walikuwa wanapewa wanafunzi ambao tayari waliandaliwa kuwa ma-TAs!!

Inawezekanaje unafundisha wanafunzi 100, halafu wanapasi 10 tu na wewe unafurahi na kushangilia??

Babu DC!!
 
what matters is not A's but how competence these students they are, kung'ang'ania A ni kukaribisha wanazuoni wenye "theories" zaidi kiliko elimu ya vitendo, tunao wengi wenye A, but ukiwapeleka ktk application ya ujuzi waloupata ndipo utajua nini maana ya A za hapa nchini.
 
wa
naowavua chupi awapati a mpwa we upate kirahisi umetunga nao mtihani??ingawa niko na wewe kukomoana kupo pale udsm ndio maana wengine tulipotoka tukhja uraiani tukaona tuduri tena kwingine tutoke...wazo jema ila huko nje marekani kupata a nayo ni hujuma labda hujui sababu wao wanaamini umekuja kufaulu so hata ukifeli wanajua ukiona d hata ndugu zako unaowachangia kwenda marekani awaji tena so ni muhimu ukija huku kama una phd nenda upitishwe na wazee wa kazi uone cha moto kama yako halalii halwaliiiiiiiiiiii
 

Mimi huanza kuhisi umakini au kukosa umakini kwa mtu kupitia anachokiandika hapa JF.Kama neno la kawaida tu unashindwa kuandika kwa usahihi vipi uaminiwe kwa mambo ya msingi? Jirekebisheni vijana hizi "shorthands" zisizo rasmi na "typos" za maneno ya kawaida hazikusaidieni bali zinakuonesheni ni watu mliokosa umakini.Usiendelee kubishana jirekebishe!
 
sithan kama hizo ndio grade ambazo tunazitumia hapa ud. Nadhani sasa hivi wamebadilisha. Ninakataa. Ila mbona kupata a inawezekana tu ukiamua? Ukiingia na coursewrk ya maana ue mbona unapata tu. Mbona mimi kuna masomo nimeipata?

a zinapatikana sana lakini kwa anaye stahili na si vinginevyo.
 
Nadhani hii ni perception mbovu ambayo wanafunzi wanaijenga towards their LECTURERS. Kama wangebahatika kuona madudu yanayoandikwa kwenye scripts za wanafunzi UE/Tests basi wasingeamini. Kuna wanafunzi hawawezi hata kuandika complete sentence ya kiingereza/swahili. Inakuwa ni vigumu kumuaward mwanafunzi marks ambazo hastaili. Better few A ambazo ni competitive na zinazoreflect quality ya chuo, kuliko A nyingi ambazo ni aibu kwa Institution husika. Imefikia hatua baadhi ya raia wanaotaka kujiendeleza kielimu hasa shahada za uzamili na uzamivu (wengi waliosoma shahada za kwanza vyuo tofauti na UDSM)wanasema bora wakasome MZUMBE/ SAUT kuliko UDSM maana UDSM wamekaa kitaaluma (academics) zaidi. Kule wanauhakika na mambo fulani kama vile kupata A's kwa njia wazijuazo wenyewe (ni tetesi na maelezo kutoka kwa baadhi ya wahusika). Issue UNIVERSITY siyo kupata A issue ni je wewe ni A material? Elimu endelevu kwa Taifa haihitaji kuwekewa siasa na mzaa mzaa. Kama LECTURERS wanabania ili wabaki wachache mbona wapo wengi wanaopata hizo nafasi za kuwa LECTURERS siku hizi? Na isitoshe siyo kila mwenye A anauwezo wa kuwa LECTURER...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…