Kwanini nikila maembe huwa nasikia kichefuchefu na kutapika?

Kwanini nikila maembe huwa nasikia kichefuchefu na kutapika?

Superb2014

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2017
Posts
9,266
Reaction score
7,426
Ni imani yangu kuwa wote ni wazima Mungu anaendelea kutupigania.

Naomba msaada wana JF

Nilikuwa nakula maembe kama kawaida pasipokuwa na shida yoyote, lakini nina miaka kama sita sasa hivi sidhubutu kula maembe au kunywa Juice ya maembe kwa sababu kila nikila embe au nikinywa juice ya embe huwa najisikia kichefuchefu na kutapika sana, baada ya kutapika huwa najisikia sawa kabisa. Hata nikisikia harufu ya embe huwa najisikia kichefuchefu.
 
Inaonyesha mimba yako inakua pole pole sana
 
Back
Top Bottom