sweetdada
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 517
- 169
WanaMMU,
Mi bado kuelewa kitu.
kwanini wanawake tu wavumilie matatizo ya wanaume ili hali mwanaume hawezi kuvumilia?
kwani sie wanawake ni mitambo ya kurekebisha tabia, kwamba nikivumilia atabadilika?Hainipi kabisa hili..:angry:
Nawasilisha.Tujadiliane
Mi bado kuelewa kitu.
kwanini wanawake tu wavumilie matatizo ya wanaume ili hali mwanaume hawezi kuvumilia?
kwani sie wanawake ni mitambo ya kurekebisha tabia, kwamba nikivumilia atabadilika?Hainipi kabisa hili..:angry:
Nawasilisha.Tujadiliane