Kwanini niwaamini chadema na sio Act. Chauma, na Nccr mageuzi?

Kwanini niwaamini chadema na sio Act. Chauma, na Nccr mageuzi?

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
6,846
Reaction score
10,288
Nani kawahi kumsikia Lissu au Heche kuzungumzia maswala ya jamii?
Wao kutwa kuzungumzia uchaguzi, kubishana na Wasira.
Lkn kuhusu nini watafanya katika sera za elimu, afya, miundo mbinu sijawahi kuwasikia.
Angalau Act , nccr wao huzungumzia hilo.
 
Nani kawahi kumsikia Lissu au Heche kuzungumzia maswala ya jamii?
Wao kutwa kuzungumzia uchaguzi, kubishana na Wasira.
Lkn kuhusu nini watafanya katika sera za elimu, afya, miundo mbinu sijawahi kuwasikia.
Angalau Act , nccr wao huzungumzia hilo.
Waamini ccm
 
Nani kawahi kumsikia Lissu au Heche kuzungumzia maswala ya jamii?
Wao kutwa kuzungumzia uchaguzi, kubishana na Wasira.
Lkn kuhusu nini watafanya katika sera za elimu, afya, miundo mbinu sijawahi kuwasikia.
Angalau Act , nccr wao huzungumzia hilo.
Who cares about fillings zako kuhusu hiko chama? keep it to yourself boy
 
Nani kawahi kumsikia Lissu au Heche kuzungumzia maswala ya jamii?
Wao kutwa kuzungumzia uchaguzi, kubishana na Wasira.
Lkn kuhusu nini watafanya katika sera za elimu, afya, miundo mbinu sijawahi kuwasikia.
Angalau Act , nccr wao huzungumzia hilo.
Maumivu yako yanafahimika, lakini taratibu utazoea.
 
Nani kawahi kumsikia Lissu au Heche kuzungumzia maswala ya jamii?
Wao kutwa kuzungumzia uchaguzi, kubishana na Wasira.
Lkn kuhusu nini watafanya katika sera za elimu, afya, miundo mbinu sijawahi kuwasikia.
Angalau Act , nccr wao huzungumzia hilo.
Hii mimba ya Lissu inakutesa sana kama vipi ichomoe
 
Nani kawahi kumsikia Lissu au Heche kuzungumzia maswala ya jamii?
Wao kutwa kuzungumzia uchaguzi, kubishana na Wasira.
Lkn kuhusu nini watafanya katika sera za elimu, afya, miundo mbinu sijawahi kuwasikia.
Angalau Act , nccr wao huzungumzia hilo.
Ukimuamini mumeo tu inatosha dada mkubwa
 
Nani kawahi kumsikia Lissu au Heche kuzungumzia maswala ya jamii?
Wao kutwa kuzungumzia uchaguzi, kubishana na Wasira.
Lkn kuhusu nini watafanya katika sera za elimu, afya, miundo mbinu sijawahi kuwasikia.
Angalau Act , nccr wao huzungumzia hilo.
Huwa nashangaa sana kuona mtu yeyote anaishabikia CCM, nafikiri ni uzwazwa mkubwa!
 
We babu yako mpaka sasa umemuamini kila jua kukicha kukupa madaraka kama huyu
IMG_0612.jpeg
 
Back
Top Bottom