Kwanini nyakati hizi ukipima Malaria haionekani?

Kwanini nyakati hizi ukipima Malaria haionekani?

Marcy

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2013
Posts
2,430
Reaction score
5,910
Jirani kauguliwa na mtoto kumpeleka hospitali kupima Malaria kwa kipimo cha MRDT hakuna Malaria. Kufika usiku joto limezidi. Asubuhi akadamkia hospital nyingine alipofika kamueleza doctor kashauri achukuliwe vipimo vyote.

Lakin kabla ya vipimo dokta aliombwa kama anampima malaria atumie kipimo cha BS maana MRDT anaona sio kipimo cha uhakika. Alimjibu BS inahitaji mtu mzoefu ili kutoa majibu sahihi.

Majibu yanatoka mtoto hana tatizo lolote wakampa Panadol ya kushusha homa
Kufika usiku mwendo ni ule ule homa kali.

Asubuhi mama kajitoa ufahamu kumuanzishia mtoto dozi ya malaria. Mpaka sasa mtoto yuko vizur hakuna homa wala nini.

Na hili jambo ni zaid ya mara moja hata watu wazima kupima malaria hakuna kitu ukitumia dozi unapona tatizo nin au vipimo vyetu au wataalamu wenyewe hawana ujuzi navyo,
 
jiran kauguliwa na mtoto kumpeleka hospital kupima malaria kwa kipo cha MRDT hakuna malaria
Kufika usiku joto limezidi
Asubuhi akadamkia hospital nyingine alipofika kamueleza doctor kashauri achukuliwe vipimo vyote
Lakin kabla ya vipimo dokta aliombwa kama anampima maleria atumie kipo cha bs maana MRDT anaona sio kipimo cha uhakika
Alimjibu bs inahitaji mtu mzoefu ili kutoa majibu sahihi
Majibu yanatoka mtoto hana tatizo lolote wakampa panadol ya kushusha homa
Kufika usiku mwendo ni ule ule homa kali
Asubuhi mama kajitoa ufahamu kumuanzishia mtoto dozi ya malaria
Mpaka sasa mtoto yuko vizur hakuna homa wala nin
Na hili jambo ni zaid ya mara moja hata watu wazima kupima malaria hakuna kitu ukitumia dozi unapona tatizo nin au vipimo vyetu au wataalamu wenyewe hawana ujuzi navyo
kawasababu wamepewa maelekezo mzungu katoa hela nyingi kwa tz kutokomeza malaria sasa ikionekana kunamalaria hatutapewa tena misaada
 
jiran kauguliwa na mtoto kumpeleka hospital kupima malaria kwa kipimo cha MRDT hakuna malaria
Kufika usiku joto limezidi
Asubuhi akadamkia hospital nyingine alipofika kamueleza doctor kashauri achukuliwe vipimo vyote
Lakin kabla ya vipimo dokta aliombwa kama anampima maleria atumie kipo cha bs maana MRDT anaona sio kipimo cha uhakika
Alimjibu bs inahitaji mtu mzoefu ili kutoa majibu sahihi
Majibu yanatoka mtoto hana tatizo lolote wakampa panadol ya kushusha homa
Kufika usiku mwendo ni ule ule homa kali
Asubuhi mama kajitoa ufahamu kumuanzishia mtoto dozi ya malaria
Mpaka sasa mtoto yuko vizur hakuna homa wala nin
Na hili jambo ni zaid ya mara moja hata watu wazima kupima malaria hakuna kitu ukitumia dozi unapona tatizo nin au vipimo vyetu au wataalamu wenyewe hawana ujuzi navyo
Aiseeeeeh

Lakini changamoto hii hujitokeza kwa aina ya kipimo kama ulivyoambiwa hapo awali hivyo vingine hushindwa kugundua kiwango cha vijidudu vilivyo kwenye damu na mengine mengiiii

Wataalamu watafika kueleza zaidi.
 
Aiseeeeeh

Lakini changamoto hii hujitokeza kwa aina ya kipimo kama ulivyoambiwa hapo awali hivyo vingine hushindwa kugundua kiwango cha vijidudu vilivyo kwenye damu na mengine mengiiii

Wataalamu watafika kueleza zaidi.
Kama vinashindwa kugundua tatizo kwann wanaviruhusu kuendelea kutumika au kuna agenda ipo hatuijui
 
jiran kauguliwa na mtoto kumpeleka hospital kupima malaria kwa kipimo cha MRDT hakuna malaria
Kufika usiku joto limezidi
Asubuhi akadamkia hospital nyingine alipofika kamueleza doctor kashauri achukuliwe vipimo vyote
Lakin kabla ya vipimo dokta aliombwa kama anampima maleria atumie kipo cha bs maana MRDT anaona sio kipimo cha uhakika
Alimjibu bs inahitaji mtu mzoefu ili kutoa majibu sahihi
Majibu yanatoka mtoto hana tatizo lolote wakampa panadol ya kushusha homa
Kufika usiku mwendo ni ule ule homa kali
Asubuhi mama kajitoa ufahamu kumuanzishia mtoto dozi ya malaria
Mpaka sasa mtoto yuko vizur hakuna homa wala nin
Na hili jambo ni zaid ya mara moja hata watu wazima kupima malaria hakuna kitu ukitumia dozi unapona tatizo nin au vipimo vyetu au wataalamu wenyewe hawana ujuzi navyo
Joto Huchangiwa na maradhi mengi sio malaria peke yake..

Wangefatilia vizuri historia ya mgonjwa na kupima vipimo stahiki wangegundua Tatizo lake!

Kuna magonjwa kama Meningitis Daktari akiwa ni mzembe anaweza akaliOverlook na akasema Mgonjwa hana Tatizo ila kama akichukua Historia vizuri anaweza akagundua..

Kipimo Cha BS kwa sasa Kina utaratibu wake Japo kwa sasa Muongozo unataka Kipimo cha kwanza Kiwe Ni kipimo cha Haraka cha Malaria kutumia Vitepe yaani mRDT..

Kama Mgonjwa akiwa na Dalili za Malaria Kali Bhasi kwa Mujibu wa Standard Treatment Guildline ya mwaka 2021 Ni lazima Achekiwe BS Na sio mRdt ili kufanya Quantification ya Parasite..

Bs Pia kwa Hupimwa kama Kuna dalili ya Kujirudia ya malaria Kwa muda usiozidi wiki Moja
 
kawasababu wamepewa maelekezo mzungu katoa hela nyingi kwa tz kutokomeza malaria sasa ikionekana kunamalaria hatutapewa tena misaada
Hii Kitu Si kweli na si vyema kupotosha...
Malaria ipo na zinazofanyika ni jitihada za kuiondoa kwa kuzuia watu kuumwa na sio kuifumba kutokuwepoo..

Huwezi kuzuia kugongwa na Gari kwa kusimama katikati ya barabara na Kufumba macho..
Ila unaweza kuzuia kwa kuondoka barabarani na kukaa kando
 
jiran kauguliwa na mtoto kumpeleka hospital kupima malaria kwa kipimo cha MRDT hakuna malaria
Kufika usiku joto limezidi
Asubuhi akadamkia hospital nyingine alipofika kamueleza doctor kashauri achukuliwe vipimo vyote
Lakin kabla ya vipimo dokta aliombwa kama anampima maleria atumie kipo cha bs maana MRDT anaona sio kipimo cha uhakika
Alimjibu bs inahitaji mtu mzoefu ili kutoa majibu sahihi
Majibu yanatoka mtoto hana tatizo lolote wakampa panadol ya kushusha homa
Kufika usiku mwendo ni ule ule homa kali
Asubuhi mama kajitoa ufahamu kumuanzishia mtoto dozi ya malaria
Mpaka sasa mtoto yuko vizur hakuna homa wala nin
Na hili jambo ni zaid ya mara moja hata watu wazima kupima malaria hakuna kitu ukitumia dozi unapona tatizo nin au vipimo vyetu au wataalamu wenyewe hawana ujuzi navyo
Unatumia MRDT TEST AU HADUBINI Ila it's the best na kwa uhakika ukatumia MICROSCOPE 🔬 Ila hizi RAPID MRDT TEST HUWA MARA NYINGI SANAAA HAZIKUUPI MAJIBU SAHIHI

KWAIO RAPID MRDT TEST HAZITOKUPA MAJIBU SAHIHI BECAUSE OF A LOT OF FACTOR'S

GOOD EVENING Marcy
 
makampuni yanayotengeneza hivyo vipimo wachunguzwe..kuna baadhi ya vipimo wanatuletea feki.
haiwezekan mtu anatengeneza kaprastic anaweka pamba ndani anaita kipimo. mtu na akili zako unakatumia kuangalia uhai wako halafu unajiamini upo salama.
hawa wanataka kutuua tu wala hawana jipya. nao watu wanajidanganya ,kila duka asaivi kuna vipimo vya UKIMWI. na watu wanaendelea kuviamini tu.
 
Unatumia MRDT TEST AU HADUBINI Ila it's the best na kwa uhakika ukatumia MICROSCOPE 🔬 Ila hizi RAPID MRDT TEST HUWA MARA NYINGI SANAAA HAZIKUUPI MAJIBU SAHIHI

KWAIO RAPID MRDT TEST HAZITOKUPA MAJIBU SAHIHI BECAUSE OF A LOT OF FACTOR'S

GOOD EVENING Marcy
JIbu sahihi Sana..

Hapo Umeongea Kisomi sana Bado Microscope for Malaria Parasite (BS) inabakikuwa Gold standard Malaria Diagnostic Tests..Na Sensitivity Diagnostic Kit Yaaani mRDt inabaki kuwa kama altenative japo kwa Tanzania Tumeamua Kuitumia mRDt ili kupunguza False Positive na False Negative..

Ukiachia Kipimo cha BS kifanyike Bila kuwa na Limitation kila mtu atakuwa na Malaria..

Kama ambavyo sasa hivi kila mtu akipimwa mkojo hatoki bila kuwa na UTI..
 
JIbu sahihi Sana..

Hapo Umeongea Kisomi sana Bado Microscope for Malaria Parasite (BS) inabakikuwa Gold standard Malaria Diagnostic Tests..Na Sensitivity Diagnostic Kit Yaaani mRDt inabaki kuwa kama altenative japo kwa Tanzania Tumeamua Kuitumia mRDt ili kupunguza False Positive na False Negative..

Ukiachia Kipimo cha BS kifanyike Bila kuwa na Limitation kila mtu atakuwa na Malaria..

Kama ambavyo sasa hivi kila mtu akipimwa mkojo hatoki bila kuwa na UTI..
Asante Sanaa mkuu umemmaliza kila kitu..
Stay blessed 🙏
 
Unatumia MRDT TEST AU HADUBINI Ila it's the best na kwa uhakika ukatumia MICROSCOPE 🔬 Ila hizi RAPID MRDT TEST HUWA MARA NYINGI SANAAA HAZIKUUPI MAJIBU SAHIHI

KWAIO RAPID MRDT TEST HAZITOKUPA MAJIBU SAHIHI BECAUSE OF A LOT OF FACTOR'S

GOOD EVENING Marcy
Kama havitoi majibu sahihi kwann waruhusu viendelee kutumika
Wanatuumiza
G evening too😊
 
Back
Top Bottom