Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,619
HELO GREAT THINKERS
NAOMBENI MNIKARIBISHE HUMU LEO NIMEWEKA MAMBO YA MAPENZI PEMBENI.
NAOMBENI MNIJIBU
KWANINI MZEE WETU NYERERE ALIACHIA MADARAKA MAPEMA BAADA YA KUTOA KATIKA MIKONO YA MKOLONI?
KWANINI HAKUKAA KAMA WENZAKE kina Mugabe wanaodai hawajaona watu wenye uwezo wa kuwaachia nchi.au mzee wetu aliona yeye hawezi tena na wanaoweza kuongoza wapo awaachie? ni nini sababu ?
pia je alikuwa na vision gani kwa warithi wake au aliachia tu ? je hayo maamuzi yalikuwa sahihi/yalikuwa na tija kwa taifa ama?sielewi sielewi naombeni mnijibu
nawasilisha
wenu mtiifu smile
NAOMBENI MNIKARIBISHE HUMU LEO NIMEWEKA MAMBO YA MAPENZI PEMBENI.
NAOMBENI MNIJIBU
KWANINI MZEE WETU NYERERE ALIACHIA MADARAKA MAPEMA BAADA YA KUTOA KATIKA MIKONO YA MKOLONI?
KWANINI HAKUKAA KAMA WENZAKE kina Mugabe wanaodai hawajaona watu wenye uwezo wa kuwaachia nchi.au mzee wetu aliona yeye hawezi tena na wanaoweza kuongoza wapo awaachie? ni nini sababu ?
pia je alikuwa na vision gani kwa warithi wake au aliachia tu ? je hayo maamuzi yalikuwa sahihi/yalikuwa na tija kwa taifa ama?sielewi sielewi naombeni mnijibu
nawasilisha
wenu mtiifu smile