Alikiba ni msanii mkubwa sana ila sasa cha kushangaza nyimbo zake hazina lyrics kwenye platform kubwa kama app ya Musixmatch
Mwana muziki yeyote duniani anayejielewa na kujua anafanya nini lazma utakuta lyrics za nyimbo zake kwenye Musixmatch
Wasanii wadogo tu kama akina Marioo, Nandy, Aslay nk wote wanazo ila Kiba hakunaView attachment 1106586View attachment 1106587
Hujanielewa mkuuSio lazima Musixmatch mzeeh, cheki hiyo hapo: http://mistariyetu.com/wasanii/ali-kiba/