Kwanini nyuzi za bizness hazitembei ukilinganisha na majukwaa mengine

Kwanini nyuzi za bizness hazitembei ukilinganisha na majukwaa mengine

Braza Kede

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2012
Posts
3,840
Reaction score
6,844
Wakuu

Spidi ya nyuzi za jukwaa hili la bzness hauwezi kulinganisha na majukwaa mengine kama MMU, Jit Chat, Mchanganyiko Siasa, Celebrity, Entertainment n.k.

Hii kidogo mimi inanishangaza maana tuna bizness community kubwa tu lakini ukiangalia nyuzi nyingi za hapa zinaenda mwendo wa konokono.

Tatizo ni nini hasa?

Je wafanyabiashara hawana muda wa kuingia humu mitandaoni au wanaingia na kwenda kwenye majukwaa mengine? na kama wanaingia na kwenda majukwaa mengine sababu itakuwa nini hasa?

Je tuna idadi kubwa ya waajiliwa ukilinganisha na wanaofanya bizness?

Ajabu saivi naona hata ukienda kule International linatembea mwendo wa ngiri sijui kwa sababu ya yanayoendelea hapo kwa majirani zetu au?
 
Kiukweli Biashara sio kitu rahisi hata kidogo na watu hawapendi vitu vigumu so in bigness bila kujitoa huwezi toboa hata kidogo wengi wetu tunaishia kuajiriwa tu hata hao wafanya biashara 90% biashara wanaziendesha kihasara bila wao kujijua.
 
94840F22-C503-42FB-BBD2-E5AE19012E25.jpeg

kama sio haya mambo hatuchangii nyuzi zenu
 
Wakuu

Spidi ya nyuzi za jukwaa hili la bzness hauwezi kulinganisha na majukwaa mengine kama MMU, Jit Chat, Mchanganyiko Siasa, Celebrity, Entertainment n.k.

Hii kidogo mimi inanishangaza maana tuna bizness community kubwa tu lakini ukiangalia nyuzi nyingi za hapa zinaenda mwendo wa konokono.

Tatizo ni nini hasa?

Je wafanyabiashara hawana muda wa kuingia humu mitandaoni au wanaingia na kwenda kwenye majukwaa mengine? na kama wanaingia na kwenda majukwaa mengine sababu itakuwa nini hasa?

Je tuna idadi kubwa ya waajiliwa ukilinganisha na wanaofanya bizness?

Ajabu saivi naona hata ukienda kule International linatembea mwendo wa ngiri sijui kwa sababu ya yanayoendelea hapo kwa majirani zetu au?
Mkuu… Tatizo WAAJIRIWA ni wengi kuliko WAFANYABIASHARA, hivyo usiwaze kuhusu hili.
 
Kuna sababu watu hawazisemi, wafanyabiashara wengi wana tabia ya kukatisha tamaa, wanashakushambulia mfano mtu akija na ombi la kushauriwa aina ya biashara wengi wao ni wakali .. ni wafanya biashara wachache watakao kushauri .. sababu za wao kufanya hivyo yawezekana ni kuogopa kuuza siri ya kambi, akupe siri zake uje kumzidi maarifa nk tofauti na majukwaa mengine mfano jukwaa la teknolojia
 
Back
Top Bottom