Kwanini PDF za majina ya walioitwa kwenye usaili wa uboreshaji wa daftari la wapiga kura yanafichwa

Kwanini PDF za majina ya walioitwa kwenye usaili wa uboreshaji wa daftari la wapiga kura yanafichwa

RoadLofa

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2017
Posts
1,509
Reaction score
3,313
Tanzania ni nchi ngumu sana kuishi kwa watu wanaojielewa yaani ukitafuta majina ya walioitwa kwenye usaili wa uboreshaji wa daftari la wapiga KURA mwaka huu kwenye website nyingi za halmashauri mbalimbali nchini utakutana tu na barua ya watu kuitwa kwenye interview tu na

Hautokuta pdf yenye list ya majina ya hao watu walioitwa yaani majina yanafichwa kama bangi vile sijui izi halmashauri zetu zipoje aisee yaani pdf zipo ila kuziweka ndo shida sijui wanaficha nini sasa zaidi ya uhuni uhuni

website pekee niliyokuta majina ni halmashauri ya Kahama nakumbuka ila nyingi majina yamefichwa kama na wanaitana naskia kwa kutumiana meseji,kama kuna mtu anabisha akaangalie kwenye web za halmashauri kadhaa kama BUMBULI kwa kipara n HALMASHAURI YA WILAYA YA LUSHOTO nk
 
Sahihi halmashauri zingine wana bandika kwenye ubao kimya kimya ,nazani ni maelekezo maana Vijana wa ccm wamefanya sana hizi kazi kwakua wana taarifa na upendeleo
 
Sahihi halmashauri zingine wana bandika kwenye ubao kimya kimya ,nazani ni maelekezo maana Vijana wa ccm wamefanya sana hizi kazi kwakua wana taarifa na upendeleo
ni balaa sana
 
Tanzania ni nchi ngumu sana kuishi kwa watu wanaojielewa yaani ukitafuta majina ya walioitwa kwenye usaili wa uboreshaji wa daftari la wapiga KURA mwaka huu kwenye website nyingi za halmashauri mbalimbali nchini utakutana tu na barua ya watu kuitwa kwenye interview tu na

Hautokuta pdf yenye list ya majina ya hao watu walioitwa yaani majina yanafichwa kama bangi vile sijui izi halmashauri zetu zipoje aisee yaani pdf zipo ila kuziweka ndo shida sijui wanaficha nini sasa zaidi ya uhuni uhuni

website pekee niliyokuta majina ni halmashauri ya Kahama nakumbuka ila nyingi majina yamefichwa kama na wanaitana naskia kwa kutumiana meseji,kama kuna mtu anabisha akaangalie kwenye web za halmashauri kadhaa kama BUMBULI kwa kipara n HALMASHAURI YA WILAYA YA LUSHOTO nk
Nakumbuka ilikuwa night nimechill sina hili wala lile naona pdf kwenye grup la chuo kulifungua kucheki ni la nini nakutana na tume huru ya taifa ya uchaguzi kusoma majina ni mtu 40 nami ndani ikabidi siku ya usaili nitokee usaili tulipiga fresh japo ratiba ilikuwa haieleweki nilifika saa moja asubuhi ila nilifanya usaili saa moja na nusu usiku maswali niliyoulizwa sikutegemea sababu nilijiandaa kwa vitu vikubwa but maswali yote niliyoulizwq nliyajibu kwa usahihi tukarudi kitaa kuchakalika baada ya muda mara meseji twii kwenye simu tunatakiwa tuliopenya tukahudhulie mafunzo basi nasi hatukuwa na ajizi tulienda kama maelekezo yalivyosemw mafunzo yaliisha tukaingia field kufanya kazi sasa baada ya kula kiapo cha kutunza siri na kusinya contract tulipewa advance ya malipo baada ya kazi kuisha tulikabidhi vifaa kama tulivyopokeq then tukaenda sasa kuchukua mpunga uliobaki kimbembe kilitaka kutokea kwangu nimefika ndani naambiwa wewe si umeshakuja kuchukua pesa, daaah nikasema mimi hapana mbona sijaja story zikawa et mara ooh kuna mtu kajq humu anafanana hivyo hivyo kama wewe hadi nguo mmetofautiana kata tu mnazotoka, ila mzozo uliisha baada ya mtendaji kuingili kati nikapokea mpunga wangu uliobaki natakakiwa kupewa, na huo ukawa ndio mwisho wa picha kati yangu na tume huru ya taifa yavuchanguzi.
 
Sahihi halmashauri zingine wana bandika kwenye ubao kimya kimya ,nazani ni maelekezo maana Vijana wa ccm wamefanya sana hizi kazi kwakua wana taarifa na upendeleo
ni balaa sana
Nakumbuka ilikuwa night nimechill sina hili wala lile naona pdf kwenye grup la chuo kulifungua kucheki ni la nini nakutana na tume huru ya taifa ya uchaguzi kusoma majina ni mtu 40 nami ndani ikabidi siku ya usaili nitokee usaili tulipiga fresh japo ratiba ilikuwa haieleweki nilifika saa moja asubuhi ila nilifanya usaili saa moja na nusu usiku maswali niliyoulizwa sikutegemea sababu nilijiandaa kwa vitu vikubwa but maswali yote niliyoulizwq nliyajibu kwa usahihi tukarudi kitaa kuchakalika baada ya muda mara meseji twii kwenye simu tunatakiwa tuliopenya tukahudhulie mafunzo basi nasi hatukuwa na ajizi tulienda kama maelekezo yalivyosemw mafunzo yaliisha tukaingia field kufanya kazi sasa baada ya kula kiapo cha kutunza siri na kusinya contract tulipewa advance ya malipo baada ya kazi kuisha tulikabidhi vifaa kama tulivyopokeq then tukaenda sasa kuchukua mpunga uliobaki kimbembe kilitaka kutokea kwangu nimefika ndani naambiwa wewe si umeshakuja kuchukua pesa, daaah nikasema mimi hapana mbona sijaja story zikawa et mara ooh kuna mtu kajq humu anafanana hivyo hivyo kama wewe hadi nguo mmetofautiana kata tu mnazotoka, ila mzozo uliisha baada ya mtendaji kuingili kati nikapokea mpunga wangu uliobaki natakakiwa kupewa, na huo ukawa ndio mwisho wa picha kati yangu na tume huru ya taifa yavuchanguzi.
walitaka wakupige
 
Back
Top Bottom