Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Wana bodi salam !
Kwa wale waliopata kusimuliwa habari mbalimbali za zamani hasa enzi za Ukoloni
kuna hili suala la Rupia na aina mbalimbali
ya fedha zinatajwa kuwa ni sarafu.
Wengi wa watu utasikia wakisimulia kwenye
Mlima ule/sehemu ile ina masanduku labda
ya pesa,sasa unauliza utaambiwa ni sanduku
la sarafu ila namna ya kulibeba ama kuchimba
ndiyo huwa kazi mno.
Ninapenda kujuzwa na wana bodi wanalijua
mno jambo hili. Enzi za Ukoloni sarafu ilikuwa
ni pesa pekee hakukuwa na noti kama sasa.
Je? Hizi imani za kuwa sehemu fulani kuna
aidha pesa ziliwekwa na Wajerumani/Waarabu
na watu wa maitafa mbambali ni kweli ama
imani tu za Watu.
Pia kama kuna mtu aliyewahi kuona sehemu
za aidha porini ama majumba ya kale zilimo
hifadhiwa sarafu hizo.
Tafadhali wana bodi karibuni ili tuweze Elimika.
Kwa wale waliopata kusimuliwa habari mbalimbali za zamani hasa enzi za Ukoloni
kuna hili suala la Rupia na aina mbalimbali
ya fedha zinatajwa kuwa ni sarafu.
Wengi wa watu utasikia wakisimulia kwenye
Mlima ule/sehemu ile ina masanduku labda
ya pesa,sasa unauliza utaambiwa ni sanduku
la sarafu ila namna ya kulibeba ama kuchimba
ndiyo huwa kazi mno.
Ninapenda kujuzwa na wana bodi wanalijua
mno jambo hili. Enzi za Ukoloni sarafu ilikuwa
ni pesa pekee hakukuwa na noti kama sasa.
Je? Hizi imani za kuwa sehemu fulani kuna
aidha pesa ziliwekwa na Wajerumani/Waarabu
na watu wa maitafa mbambali ni kweli ama
imani tu za Watu.
Pia kama kuna mtu aliyewahi kuona sehemu
za aidha porini ama majumba ya kale zilimo
hifadhiwa sarafu hizo.
Tafadhali wana bodi karibuni ili tuweze Elimika.