Inalimwa wapi hapa bongo, ndio naisikia leo, sijawahi isikia kabisa.hii jamii ya pilipili kwa jina mwendo kasi.
Aina zingine za bei ya juu ni zipi? Mbona pilipilo karibia zote bei ni ile ile ukiondoa pilipili hoho.Kwa mliokwenda nchi za nje mfano bara la asia uwezi kuziona hizi pilipili za mwendokasi.
mfano China ni walaji wazuri wapili pilipili ukikutana nao sokoni uwezi kuona wana nunua hii jamii ya pilipili kwa jina mwendo kasi.wao ujikita na pili ambazo sio wageni tukiona kwenye mapishi yao nakuulizana zile pilipili si watashindwa chakula.
Lakini ni tofauti kabisa sababu ni kwamba ukali wake utofautiana na mwendokasi kuendana na ladha ya chakula pamoja na viungo.
Ila hii pilipili sasa ya mwendokasi ukiweka tu umeshavuruga chakula kabisa.View attachment 3257359
Duuh, mbona kila Sehemu ipo!Inalimwa wapi hapa bongo, ndio naisikia leo, sijawahi isikia kabisa.
Si unasema pilipili sokoni neenda mabibo ujionee bei karibia zinafanana.Hapana ndugu sio kila mazao yana fanana bei.Muulize aliyekuwaga mkuu wilaya iringa.
Lile ni soko la wahindi wengi wanalenga wahindi wanapigwa bei ya juu, we neenda Ilala au ma bibo soka la waswahili.Embu nenda kisutu ukakute aina ya makabichi sio ulilozoea kila siku kukutana nalo kwenye msosi wako.
We huishi Tanzania bila shaka...hii pilipili ni maarufu mno na hata sokoni zinauzika sanaInalimwa wapi hapa bongo, ndio naisikia leo, sijawahi isikia kabisa.
Nimekupeleka mbali kusutu nenda hapo mabibo kaulize Red cabbage .Lile ni soko la wahindi wengi wanalenga wahindi wanapigwa bei ya juu, we neenda Ilala au ma bibo soka la waswahili.
Hujajibu swali langu, so naomba unijibu...We huishi Tanzania bila shaka...hii pilipili ni maarufu mno na hata sokoni zinauzika sana
Nipo Tengeru sijawahi ona hiyo pilipili iitwayo mwendokasi na ndio maana nikauliza Inalimwa wapi...Duuh, mbona kila Sehemu ipo!
Mkuu wa Mkoa.Hapana ndugu sio kila mazao yana fanana bei.Muulize aliyekuwaga mkuu wilaya iringa.
Swali ni kama uulize ndizi mzuzu ni za wapi mbona mi sijawahi kuziskia ...jibu lake ni zinalimwa kila sehemu hata uwani kwakoHujajibu swali langu, so naomba unijibu...
Hizo pilipili za mwendokasi zinalimwa wapi?