Kwanini Polisi wakimkamata mtu hukataa kutoa taarifa kuwa wamemkamata na hukataa kumpeleka Mahakamani?

Kwanini Polisi wakimkamata mtu hukataa kutoa taarifa kuwa wamemkamata na hukataa kumpeleka Mahakamani?

Lord OSAGYEFO

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2021
Posts
3,085
Reaction score
4,890
Wadau kumekuwa Na Tabia ya Polisi kumkamata Mtu na ndugu na Jamaa zake Wakitaka kujua sababu ya ndugu yao kukamatwa na Alipo POLISI HUKATAA kuwa hawajamkamata na Baya zaidi hata Mahakamani hawampeleki kwa Mujibu wa Sheria.Je ni Sheria gani wanayotumia Polisi kufanya hivyo? Na kama ni Sheria mbona Watu wakienda Mahakamani kuomba Mahakama iliagize Jeshi la Polisi Aliyekamatwa kuletwa Mahakamani Polisi humleta kwanini hawagomi?
 
Wadau kumekuwa Na Tabia ya Polisi kumkamata Mtu na ndugu na Jamaa zake Wakitaka kujua sababu ya ndugu yao kukamatwa na Alipo POLISI HUKATAA kuwa hawajamkamata na Baya zaidi hata Mahakamani hawampeleki kwa Mujibu wa Sheria.Je ni Sheria gani wanayotumia Polisi kufanya hivyo? Na kama ni Sheria mbona Watu wakienda Mahakamani kuomba Mahakama iliagize Jeshi la Polisi Aliyekamatwa kuletwa Mahakamani Polisi humleta kwanini hawagomi?
1. Hawalazimishwi kutoa kila taarifa ya ukamataji (wao husema kwa sababu za kiusalama).

2. Ikiwa unajua kuwa wamemkamata ndugu yako, halafu wanakataa kuwa hawajamkamata, unaweza fanya yafuatayo;
a. Wape taarifa ya kupotea mtu huyo/fungua jalada
b. Omba Amri ya Mahakama mtu huyo apelekwe Mahakamani
 
Back
Top Bottom