Timu imejiweka mbali na wananchi, wawe wanawachukua wafungwa labdaKila ukiangalia mechi wanazocheza prison huoni mashabiki zaidi ya askari wachache sana wanaoimba na kucheza muda wote wa mechi
Hata ken gold wajuzi wanamashabiki kuliko prison
Tatizo ni Nini!? Na kwa Nini wasihame mkoa angalau waende hata shinyanga wapate mashabiki kuliko mbeya walikompiga Zuchu!?
Anyway hadi Sasa Selemani Mwalim ndie George Mpole wa msimu msimu uliopita alikuwa waziri junior
Kuna msimu walihamia Sumbawanga na kule walipata mashabiki sijui kwanini waliondoka.Kila ukiangalia mechi wanazocheza prison huoni mashabiki zaidi ya askari wachache sana wanaoimba na kucheza muda wote wa mechi
Hata ken gold wajuzi wanamashabiki kuliko prison
Tatizo ni Nini!? Na kwa Nini wasihame mkoa angalau waende hata shinyanga wapate mashabiki kuliko mbeya walikompiga Zuchu!?
Anyway hadi Sasa Selemani Mwalim ndie George Mpole wa msimu msimu uliopita alikuwa waziri junior
ni katika kutafuta ngome, niseme tu waliwakimbia Mbeya city, wakijua fika huko Sumbawanga hamna timu ligi kuu labda watapata supporters mambo yakawa yale yaleKuna msimu walihamia Sumbawanga na kule walipata mashabiki sijui kwanini waliondoka.
unajua wanajeshi wanapendwa na raia kuliko askari wa kawaida, hivi ushaona mtu anajisikia proud kuvaa sare ya askari polisi? lakini za jeshi je??Mashujaa ni ya Jeshi lakini ina mashabiki
Wakishinda mara kwa mara mashabiki wataongezeka hata jezi watanunua kwa wingiKila ukiangalia mechi wanazocheza prison huoni mashabiki zaidi ya askari wachache sana wanaoimba na kucheza muda wote wa mechi
Hata ken gold wajuzi wanamashabiki kuliko prison
Tatizo ni Nini!? Na kwa Nini wasihame mkoa angalau waende hata shinyanga wapate mashabiki kuliko mbeya walikompiga Zuchu!?
Anyway hadi Sasa Selemani Mwalim ndie George Mpole wa msimu msimu uliopita alikuwa waziri junior
Msimu uliopita wameshinda sanaWakishinda mara kwa mara mashabiki wataongezeka hata jezi watanunua kwa wingi
Ila prison nayo iko mbali na mjini hata hivyo kama ulivyo sema branding ni muhimu ina kosa owneship ya wananchiMsimu uliopita wameshinda sana
Labda team haijibrand sana mkoani mbeya si unajua wanyaki wanapenda kunyenyekewa na askari hajui kunyenyekea ukija sawa hutaki acha SA inawacost