Kwanini Profesa Kabudi anaandamwa?


Inshort alikuwa ameshikiwa akili wakati wa dhalimu. Hakuna cha nini wala nini. Hilo zee lilikuwa linajipendekeza hadi linatia kinyaa. Na si ajabu ww mleta uzi ndio Kabudi mwenyewe.
 
Ni wajinga pekee ndio wataomuandama Prof. Kabudi, haiwezekani mtu atoe bandari kwa wajomba zake, lawama apelekewe Kabudi.
Kabudi hataki kuingilia mambo ya kifamilia ya mtu na Wajomba zake.
 
Kama yeye ni mwanaume kweli ajiuzulu kama Nyalalandu alivyojiuzulu enzi za mwendazake
Nyalandu alijirekodi ujumbe wa kujiuzulu akiwa mpakani, na baada ya kurusha Ile clip, akatokomea,

Ndo uanaume huo?

Mwamakula ndo jembe, Yeye aliandamana mwenyewe wakati CHADEMA wamekubali yaishe.
 
Ilisemwa yeye ndiye baba na mbabe wa mikataba!
 
Nyalandu alijirekodi ujumbe wa kujiuzulu akiwa mpakani, na baada ya kurusha Ile clip, akatokomea,

Ndo uanaume huo?

Mwamakula ndo jembe, Yeye aliandamana mwenyewe wakati CHADEMA wamekubali yaishe.
Nyalandu aliondoka CCM akajiunga Chadema na akawa anashiriki kikamilifu siasa za Chadema.

Kabudi hawezi kutoka CCM, hana ujasiri huo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…