Nyaru-sare
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 5,261
- 3,679
Ninacho jua ni kuwa "mataga" kama wewe ni 00 brainUmekariri Mkuu unafikiri wote ni wajinga.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28]
Itoshe kusema kuwa ccm haina kizuri chochote ilicho wahi kuwatendea WatanzaniaMabaya mengi, mazuri machache mno. Inatosha
Hayo wanajifanya hawayaoni, kazi yao kukesha wanasifia tuIlikuwaje yule kibaka aliyemchomolea bwana mdogo nape bastola hadharani hasichukuliwe hatua yoyote ?
Kwanini Msoga hakikujengwa Kiwanja kama hicho?
Kuna mtu kawa kituko kwenye covid 19 kama cha pombe, acha kwa marais, kwa maraia wote wa east africa, yupo?Kwanza sio yepi ni yapi hicho ndo Kiswahili sahihi,,,
Bila shaka nabishana na mtu ambae sio mtanzania halisi
Ila uelewe tu,, East Africa countries wana muappreciate JPM kwa misimamo yake na yenye manufaa kwa nchi,,, not only that the way he handle the COVID19 pandemic!!!
Amereta heshima kwa nchinhana uoga ana udhubutu mkubwa kwa vile vyenye manufaa kwa nchi!!
Pamoja na propaganda zenu uchwara lakini Bado tunamuamini JPM