Kwanini Rais wa Tanzania anapaswa kusifiwa tu na si kulaumiwa

Kwanini Rais wa Tanzania anapaswa kusifiwa tu na si kulaumiwa

Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
7,672
Reaction score
9,039
Kumekuwa na watu wanaohoji kwanini rais anasifiwa sana ila hakosolewi.

Kwanza, ana mamlaka makubwa kikatiba. Anaweza kufanya lolote atakalo asivunje sheria. Mfano, alipomteua Makonda wengi walistuka na kulaumu lakini aliwapuuza.

Pili, alipomteua mkwewe na kumpa jukumu la kuchakachua, sorry kusimamia uchaguzi wengi wasiojua sheria wala kumtakia mema walilalamika.

Tatu, rais alirithi urais toka kwa mtangulizi wake aliyesifika kwa kupenda kusifiwa naye akarithi katabia hako. Hivyo, hana makosa maana huo ndiyo urathi wake toka kwa aliyemtengeneza.

Nne, katiba yetu ya hovyo alaumiwe Nyerere aliyeitumia kututawala kama mfalme mpaka alivyoshindwa kabisa akamuachia mzee Ruksa naye akaanzisha vijimchezo vyake kama kuendekeza udini, uholela uliozidishwa na Kikwete aliyerithi serikali yenye majivuno toka kwa Mkapa kabla ya kumkabidhi Magufuli aliyejigeuza mtetezi wa wanyonge na kutumia lugha hii kuendesha nchi Ki-Aminiamini au KiMseveniseveni kama siyo kiKagamekagame.

Mwisho, Tanzania ni kama maabara ya kufanyia kila majaribio.

Kama alivyowahi kusema mzee Mwinyi, ni kichwa cha mwendawazimu walevi kujifunzia kunyoa.
 
Kumekuwa na watu wanaohoji kwanini rais anasifiwa sana ila hakosolewi.
Kwanza, ana mamlaka makubwa kikatiba. Anaweza kufanya lolote atakalo asivunje sheria. Mfano, alipomteua Makonda wengi walistuka na kulaumu lakini aliwapuuza.
Pili, alipomteua mkwewe na kumpa jukumu la kuchakachua, sorry kusimamia uchaguzi wengi wasiojua sheria wala kumtakia mema walilalamika.
Tatu, rais alirithi urais toka kwa mtangulizi wake aliyesifika kwa kupenda kusifiwa naye akarithi katabia hako. Hivyo, hana makosa maana huo ndiyo urathi wake toka kwa aliyemtengeneza.
Nne, katiba yetu ya hovyo alaumiwe Nyerere aliyeitumia kututawala kama mfalme mpaka alivyoshindwa kabisa akamuachia mzee Ruksa naye akaanzisha vijimchezo vyake kama kuendekeza udini, uholela uliozidishwa na Kikwete aliyerithi serikali yenye majivuno toka kwa Mkapa kabla ya kumkabidhi Magufuli aliyejigeuza mtetezi wa wanyonge na kutumia lugha hii kuendesha nchi Ki-Aminiamini au KiMseveniseveni kama siyo kiKagamekagame.
Mwisho, Tanzania ni kama maabara ya kufanyia kila majaribio. Kama alivyowahi kusema mzee Mwinyi, ni kichwa cha mwendawazimu walevi kujifunzia kunyoa.
Kipo kibabu kinatamani kiturudishe utumwani.Kwani mtazamo wake ni kuwa tunakosea mambo mengi.
 
images (6).jpeg
 
Kumekuwa na watu wanaohoji kwanini rais anasifiwa sana ila hakosolewi.
Kwanza, ana mamlaka makubwa kikatiba. Anaweza kufanya lolote atakalo asivunje sheria. Mfano, alipomteua Makonda wengi walistuka na kulaumu lakini aliwapuuza.
Pili, alipomteua mkwewe na kumpa jukumu la kuchakachua, sorry kusimamia uchaguzi wengi wasiojua sheria wala kumtakia mema walilalamika.
Tatu, rais alirithi urais toka kwa mtangulizi wake aliyesifika kwa kupenda kusifiwa naye akarithi katabia hako. Hivyo, hana makosa maana huo ndiyo urathi wake toka kwa aliyemtengeneza.
Nne, katiba yetu ya hovyo alaumiwe Nyerere aliyeitumia kututawala kama mfalme mpaka alivyoshindwa kabisa akamuachia mzee Ruksa naye akaanzisha vijimchezo vyake kama kuendekeza udini, uholela uliozidishwa na Kikwete aliyerithi serikali yenye majivuno toka kwa Mkapa kabla ya kumkabidhi Magufuli aliyejigeuza mtetezi wa wanyonge na kutumia lugha hii kuendesha nchi Ki-Aminiamini au KiMseveniseveni kama siyo kiKagamekagame.
Mwisho, Tanzania ni kama maabara ya kufanyia kila majaribio. Kama alivyowahi kusema mzee Mwinyi, ni kichwa cha mwendawazimu walevi kujifunzia kunyoa.

KATIBA MBOVU NDUGU NAONA NDIYO MNA AMKA USINGIZINI
 
Yaani sasa hivi kusifiwa ndio habari ya mjini. Na itachukua muda mrefu kuachana na huu utaratibu wa kumsifia rais.
 
Tunaendelea kuorodhesha majinaa ya chawaa wa mama badala ya matatizo ya Wana nchi
FB_IMG_1731931623196.jpg
 
Mtu kama huyu atakosoa nini?
images (2).jpeg

Ni mwendo wa....
IMG-20241007-WA0000.jpg
 
Back
Top Bottom