According to TFF wamesema ni kwa ajili ya sababu za kiusalama kwa mwamuziOnly in Tanzania, masaa 48 kabla ya mechi ya Simba na Yanga marefarii bado hawajatangzwa na wala hawajulikani, je nini shida? Je nini kinaendelea nyuma ya pazia?
Mbona keshatangazwa Haji Manara?Only in Tanzania, masaa 48 kabla ya mechi ya Simba na Yanga marefarii bado hawajatangzwa na wala hawajulikani, je nini shida? Je nini kinaendelea nyuma ya pazia?
huyo Jamaa muache ni level nyingineMbona keshatangazwa Haji Manara?
Tutamwona kesho atakavyopuliza kipengahuyo Jamaa muache ni level nyingine