Kwanini Republicans haialiki wazee wa chama chao kama CCM?

Kwanini Republicans haialiki wazee wa chama chao kama CCM?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Marekani, chama cha Republicans kina Rais mmoja mstaafu, George Bush na makamu watatu wa Rais wastaafu, Dan Quayle, Dick Cheney na Mike Pence. Kwa nini huwa hawaalikiwi kabisa au hata angalau kutajwa tu katika mkutano wao mkuu wa chama?
 
Republican ni chama cha siasa katika nchi ya Marekani wakati ccm ni chama dola ktk nchi ya Tanzania. Wakati chama cha Republican kipo tu kiwe na madaraka au kisiwe nayo, ccm nje ya madaraka hakiwezi kuwepo kwa sababu pumzi kinachopumulia inaitegemea serikali kwa asilimia 100. Wakati chama cha Republican kina uungwaji mkono mkubwa kwa wananchi wa Marekani, ccm hakitakiwi na wananchi na kinategemea uungwaji mkono wa vyombo vya dola kama jeshi, polisi na usalama wa Taifa ili kiwe hai.

Hivyo basi ni yaleyale kwamba kukifananisha chama cha Republican na ccm ni sawa vilevile na kuifananisha Tanzania na Marekani wakati tofauti yake ni kama Usiku wa Giza na Mchana wa Jua.
 
Republican ni chama cha siasa katika nchi ya Marekani wakati ccm ni chama dola ktk nchi ya Tanzania. Wakati chama cha Republican kipo tu kiwe na madaraka au kisiwe nayo, ccm nje ya madaraka hakiwezi kuwepo kwa sababu pumzi kinachopumulia inaitegemea serikali kwa asilimia 100. Wakati chama cha Republican kina uungwaji mkono mkubwa kwa wananchi wa Marekani, ccm hakitakiwi na wananchi na kinategemea uungwaji mkono wa vyombo vya dola kama jeshi, polisi na usalama wa Taifa ili kiwe hai.

Hivyo basi ni yaleyale kwamba kukifananisha chama cha Republican na ccm ni sawa vilevile na kuifananisha Tanzania na Marekani wakati tofauti yake ni kama Usiku wa Giza na Mchana wa Jua.
Jibu zuri sana
 
Republican ni kikundi Cha wahuni tu kama walivyo wahuni wengine
 
Back
Top Bottom