Kwanini ripoti ya Dkt. Bashiru Ally imeendelea kufichwa? Rais Samia anaogopa nini kuliweka wazi?

Kwanini ripoti ya Dkt. Bashiru Ally imeendelea kufichwa? Rais Samia anaogopa nini kuliweka wazi?

Desprospero

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
1,015
Reaction score
2,493
Shalom wajumbe wa JF.
Mara tu baada ya kuingia madarakani 2015, Rais John Pombe Magufuli aliunda Kamati Maalum (ukipenda ita tume) ya kuchunguza mali za CCM nchi nzima. Kamati/Tume hii iliongozwa na Dk. Bashiru Ally.

Kamati hii ilifanya kazi kubwa na kuja na findings na mapendekezo ikiwa na kurasa 927 (kitabu). Bashiru alimkabidhi Mwenyekiti wa CCM Rais JPM huku Hamphrey Polepole akipewa nakala aliyopelekewa kupitia kwa Tito Magoti (sasa DC).

Ripoti ya Kamati hii ilibaini uchafu, madudu na kila aina ya ufisadi uliofanywq na uliokuwa ukiendelea kufanywa na makada wa CCM. JPM alitumia ripoti hii kama rungu kutaka atiiwe na kusujudiwa maana ulipoleta fyofyo uliitwa na kuoneshwa kurasa zinazokuhusu na kisha kuulizwa, "unanikubali tupotezee au unagoma twende Kisutu kwa kesi ya uhujumu uchumi?" Kwa woga wa makada wa CCM na hofu ya maisha ya gereza la Keko kila mmoja aliufyata mkia kasoro Bernard Membe.

Miongoni mwa waliofyata mikia yao ni pamoja na Nape aliyekutwa na wizi wa magari kadhaa ya chama yaliyotumika kwenye kampeni. January alikutwa na wizi wa 2.7 bilioni fedha za kampeni. Jengo la UVCCM lilimnasa Lowassa, Subhash Patel huku kina Rostam nao wakinasa kutaja kwa ufupi. Ni vigogo wachache sana walipona kwenye ripoti hiyo iliyofanya JPM aitwe mshamba.

Sitaki kuamini kwamba 4R za Samia ni pamoja na kuizika ripoti hii iliyogharimu mamilioni ya walipakodi kukusanywa. Sitaki kuamini kwamba Samia amefanya reconciliation na ufisadi na mafisadi. Na kama ni hivyo hilo litakuwa jambo baya sana na usaliti kwa umma.

Sumu hii ikiachwa itakiangamiza CCM 2025 maana utakuwa ni uchaguzi kati ya Ufisadi na Uadilifu. Rais Samia akiweka wazi ripoti hii na kuifanyia kazi kama mapendekezo yalivyo atajijengea heshima kubwa katika vita dhidi ya ufisadi. Lakini kama ataipotezea basi sidhani kama magari 160 ya maji ya washa-washa yaliyoagizwa kutoka Korea yatafua dafu 2025.

Rais Samia vaa ujasiri kuweka hadharani ripoti hii na kuifanyia kazi mapema. Kama umenyimwa hapo Ikulu usiione basi soon tutaitundika hapa hapa JF ili uisomee hapa. Kuwa JASIRI maana maadui zako wanataka kuifyatua kiasi kwamba nchi itatetemeka. Nishukuru baadaye.
 
Lazima anaijua sana!

Lakini akiifanyia kazi ataonekana kigeu geu coz ni yeye aloesema "kula Kwa urefu wa kamba" na kauli hii iliasisi ufisadi wa awamu hii na kuchukuliwa poa hadi kuwa mhanga wa Kila saa kusafisha ikulu kila mara!!

Na wale vijana anaowaamini watampigania 2025 ndio hai ama wanamsaliti au wanapotezwa kiaina kiaina!!!

Kifupi no kwamba kwasasa mama haamini mtu na hofu ikimzidi ataamua akae pembeni!

Hata huyo Bashiru au pole pole akiwarudisha Ili wampiganie sidhani kama anaweza kuwalinda Waka survive near death experience!!! Kama tetesi za makonda zikiwa kweli basi makada wanaompigania mama hawapo salama tena kabisa!!

NAJARIBU KUWAZA KAMA MTZ MWENYE AKILI TIMAMU!!
 
Ilikuwa ripoti iliyojaa ya visasi na husda ili kumfurahisha yule mwehu
Haina umuhimu wowote kwa sasa
 
hiyo ripoti ikiwekwa hadharani,70% ya madudu yamesababishwa na aliewatuma. sasa aliewatuma mtampata wapi kwa sasa?
 
Shalom wajumbe wa JF.
Mara tu baada ya kuingia madarakani 2015, Rais John Pombe Magufuli aliunda Kamati Maalum (ukipenda ita tume) ya kuchunguza mali za CCM nchi nzima. Kamati/Tume hii iliongozwa na Dk. Bashiru Ally..
Naamini JPM alirejesha mali kama sio zote sehemu kubwa hadi wezi wakubwa wa mali za chama wakamwita mshamba maana hataki vigogo kupiga mali za umma.
 
Shalom wajumbe wa JF.
Mara tu baada ya kuingia madarakani 2015, Rais John Pombe Magufuli aliunda Kamati Maalum (ukipenda ita tume) ya kuchunguza mali za CCM nchi nzima. Kamati/Tume hii iliongozwa na Dk. Bashiru Ally.

Kamati hii ilifanya kazi kubwa na kuja na findings na mapendekezo ikiwa na kurasa 927 (kitabu). Bashiru alimkabidhi Mwenyekiti wa CCM Rais JPM huku Hamphrey Polepole akipewa nakala aliyopelekewa kupitia kwa Tito Magoti (sasa DC).

Ripoti ya Kamati hii ilibaini uchafu, madudu na kila aina ya ufisadi uliofanywq na uliokuwa ukiendelea kufanywa na makada wa CCM. JPM alitumia ripoti hii kama rungu kutaka atiiwe na kusujudiwa maana ulipoleta fyofyo uliitwa na kuoneshwa kurasa zinazokuhusu na kisha kuulizwa, "unanikubali tupotezee au unagoma twende Kisutu kwa kesi ya uhujumu uchumi?" Kwa woga wa makada wa CCM na hofu ya maisha ya gereza la Keko kila mmoja aliufyata mkia kasoro Bernard Membe.

Miongoni mwa waliofyata mikia yao ni pamoja na Nape aliyekutwa na wizi wa magari kadhaa ya chama yaliyotumika kwenye kampeni. January alikutwa na wizi wa 2.7 bilioni fedha za kampeni. Jengo la UVCCM lilimnasa Lowassa, Subhash Patel huku kina Rostam nao wakinasa kutaja kwa ufupi. Ni vigogo wachache sana walipona kwenye ripoti hiyo iliyofanya JPM aitwe mshamba.

Sitaki kuamini kwamba 4R za Samia ni pamoja na kuizika ripoti hii iliyogharimu mamilioni ya walipakodi kukusanywa. Sitaki kuamini kwamba Samia amefanya reconciliation na ufisadi na mafisadi. Na kama ni hivyo hilo litakuwa jambo baya sana na usaliti kwa umma.

Sumu hii ikiachwa itakiangamiza CCM 2025 maana utakuwa ni uchaguzi kati ya Ufisadi na Uadilifu. Rais Samia akiweka wazi ripoti hii na kuifanyia kazi kama mapendekezo yalivyo atajijengea heshima kubwa katika vita dhidi ya ufisadi. Lakini kama ataipotezea basi sidhani kama magari 160 ya maji ya washa-washa yaliyoagizwa kutoka Korea yatafua dafu 2025.

Rais Samia vaa ujasiri kuweka hadharani ripoti hii na kuifanyia kazi mapema. Kama umenyimwa hapo Ikulu usiione basi soon tutaitundika hapa hapa JF ili uisomee hapa. Kuwa JASIRI maana maadui zako wanataka kuifyatua kiasi kwamba nchi itatetemeka. Nishukuru baadaye.
Bashiru ndio mnafiki aliekubali kunyamazishwa na uteuzi
 
Tuanze kwanza kuwapoka CCM viwanja vilivyojengwa kwa kodi za wananchi halafu CCM ikajimilikisha kiharamia na kujichotea mapato .
 
Samia ameificha Kwa sababu anajuwa wasaidizi wake wote ni majizi yakiongozwa na mshika remote mkuu A.k.A msoga gang
 
Lazima anaijua sana!

Lakini akiifanyia kazi ataonekana kigeu geu coz ni yeye aloesema "kula Kwa urefu wa kamba" na kauli hii iliasisi ufisadi wa awamu hii na kuchukuliwa poa hadi kuwa mhanga wa Kila saa kusafisha ikulu kila mara!!

Na wale vijana anaowaamini watampigania 2025 ndio hai ama wanamsaliti au wanapotezwa kiaina kiaina!!!

Kifupi no kwamba kwasasa mama haamini mtu na hofu ikimzidi ataamua akae pembeni!

Hata huyo Bashiru au pole pole akiwarudisha Ili wampiganie sidhani kama anaweza kuwalinda Waka survive near death experience!!! Kama tetesi za makonda zikiwa kweli basi makada wanaompigania mama hawapo salama tena kabisa!!

NAJARIBU KUWAZA KAMA MTZ MWENYE AKILI TIMAMU!!
Huoni kuwa Magufuli ndiye alipaswa kuiweka hadharani? Samia unamuonea kwa sababu siye aliyeagiza.
 
CCM ilipofikia, maana kutoka mababu wa ccm walikuwemo mafisadi, ukoo ule umeendelea kukua na kuongezeka, na sasa hata aliyetungwa mimba kutoka kwa mwanachama wa ccm, ni fisadi

Tunahitaji kuichukia ccm kutoka moyoni na kisha kuikataa kimatendo kwa kuinyima kura hata moja, kungekuwa na uwezekano, ilitakiwa ccm wote wapigwe kiberiti, wakubwa kwa wadogo mpaka kwa waliotumboni, ilimradi tu wazazi wake ni ccm!

Lakini kwa kuwa haitakiwi, basi itakavyokuwa
 
Shalom wajumbe wa JF.
Mara tu baada ya kuingia madarakani 2015, Rais John Pombe Magufuli aliunda Kamati Maalum (ukipenda ita tume) ya kuchunguza mali za CCM nchi nzima. Kamati/Tume hii iliongozwa na Dk. Bashiru Ally.

Kamati hii ilifanya kazi kubwa na kuja na findings na mapendekezo ikiwa na kurasa 927 (kitabu). Bashiru alimkabidhi Mwenyekiti wa CCM Rais JPM huku Hamphrey Polepole akipewa nakala aliyopelekewa kupitia kwa Tito Magoti (sasa DC).

Ripoti ya Kamati hii ilibaini uchafu, madudu na kila aina ya ufisadi uliofanywq na uliokuwa ukiendelea kufanywa na makada wa CCM. JPM alitumia ripoti hii kama rungu kutaka atiiwe na kusujudiwa maana ulipoleta fyofyo uliitwa na kuoneshwa kurasa zinazokuhusu na kisha kuulizwa, "unanikubali tupotezee au unagoma twende Kisutu kwa kesi ya uhujumu uchumi?" Kwa woga wa makada wa CCM na hofu ya maisha ya gereza la Keko kila mmoja aliufyata mkia kasoro Bernard Membe.

Miongoni mwa waliofyata mikia yao ni pamoja na Nape aliyekutwa na wizi wa magari kadhaa ya chama yaliyotumika kwenye kampeni. January alikutwa na wizi wa 2.7 bilioni fedha za kampeni. Jengo la UVCCM lilimnasa Lowassa, Subhash Patel huku kina Rostam nao wakinasa kutaja kwa ufupi. Ni vigogo wachache sana walipona kwenye ripoti hiyo iliyofanya JPM aitwe mshamba.

Sitaki kuamini kwamba 4R za Samia ni pamoja na kuizika ripoti hii iliyogharimu mamilioni ya walipakodi kukusanywa. Sitaki kuamini kwamba Samia amefanya reconciliation na ufisadi na mafisadi. Na kama ni hivyo hilo litakuwa jambo baya sana na usaliti kwa umma.

Sumu hii ikiachwa itakiangamiza CCM 2025 maana utakuwa ni uchaguzi kati ya Ufisadi na Uadilifu. Rais Samia akiweka wazi ripoti hii na kuifanyia kazi kama mapendekezo yalivyo atajijengea heshima kubwa katika vita dhidi ya ufisadi. Lakini kama ataipotezea basi sidhani kama magari 160 ya maji ya washa-washa yaliyoagizwa kutoka Korea yatafua dafu 2025.

Rais Samia vaa ujasiri kuweka hadharani ripoti hii na kuifanyia kazi mapema. Kama umenyimwa hapo Ikulu usiione basi soon tutaitundika hapa hapa JF ili uisomee hapa. Kuwa JASIRI maana maadui zako wanataka kuifyatua kiasi kwamba nchi itatetemeka. Nishukuru baadaye.
Kwa hiyo ameagiza magari ya washa washa kuwawasha chadema hiii nchi sio ya kuishi ngoja niende rwanda mimi🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom