Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amecheza game ya Kibaishara
Kauza hisa Za Kampuni yake Kwa Kampuni ile ya ki South Africa Halafu kaenda kununua hisa Za ile Kampuni ya South Africa
kwahiyo kahama kutoka umiliki wa hisa kwenye kampuni ya kitanzania akaenda kwenye umiliki wa hisa kwenye kampuni ya kikaburu.
Hii inatufundisha nini?
Inatufundisha tuwekeze kwenye Rasilimali akili sio rasilimali Majungu
Yaani kaituma Kampuni ya kikaburu kuja kumuwakilisha kwenye Uwekezaji wake Hapa Nchini Kwa Kuwa akiwekeza direct Kelele zinakuwa nyingi
Dowans alifanya hivyo akaita Symbion Kelele zikaisha Na Sasa Kelele Z umiliki wake Vodacom zitaisha soon
Inatufundisha tuwekeze kwenye Rasilimali akili sio rasilimali Majungu
Yaani kaituma Kampuni ya kikaburu kuja kumuwakilisha kwenye Uwekezaji wake Hapa Nchini Kwa Kuwa akiwekeza direct Kelele zinakuwa nyingi
Dowans alifanya hivyo akaita Symbion Kelele zikaisha Na Sasa Kelele Z umiliki wake Vodacom zitaisha soon
Wakati Biblia imemuandikia Mwanaume kwa Mwanamke "muishi nao kwa akili"Inatufundisha tuwekeze kwenye Rasilimali akili sio rasilimali Majungu
Yaani kaituma Kampuni ya kikaburu kuja kumuwakilisha kwenye Uwekezaji wake Hapa Nchini Kwa Kuwa akiwekeza direct Kelele zinakuwa nyingi
Dowans alifanya hivyo akaita Symbion Kelele zikaisha Na Sasa Kelele Z umiliki wake Vodacom zitaisha soon
Wakati Biblia imemuandikia Mwanaume kwa Mwanamke "muishi nao kwa akili"
Basi Duniani ina maana muishi na Watanzania kwa akili.
kwahiyo kahama kutoka umiliki wa hisa kwenye kampuni ya kitanzania akaenda kwenye umiliki wa hisa kwenye kampuni ya kikaburu.
Hii inatufundisha nini?
Hamisha pesa zako nchini, wekeza nje ya nchi ili siku ukipata msala uwe na pa kutokeakwahiyo kahama kutoka umiliki wa hisa kwenye kampuni ya kitanzania akaenda kwenye umiliki wa hisa kwenye kampuni ya kikaburu.
Hii inatufundisha nini?
Inatufundisha unaweza kuituma hela mahali popote na ukapata matokeo yaleyale. Kwa vile yeye mwekezaji, uwanja anaochezea ni right quadrant, kama anavyofundisha R. Kiyosaki.... Kwa maana nyingine, anayemiliki mtaji, yuko huru na hafungwi na eneo, nchi au mazingira ya biashara .... Freedomkwahiyo kahama kutoka umiliki wa hisa kwenye kampuni ya kitanzania akaenda kwenye umiliki wa hisa kwenye kampuni ya kikaburu.
Hii inatufundisha nini?
Swali la msingi ni kwanini anauza na wakati huo huo anatuambia Magu anajenga uchumi mzuri sasa kwanini asiziache apate faida kufanya biashara TZ
Kamuulize mwenyewe,ustuchoshe[emoji57]26% amewazuia Vodacom south Afrika,why now?
Usije kushangaa anaenda kununua za SafariCom Kenya.26% amewazuia Vodacom south Afrika,why now?
Akili ya kuambiwa changanya na zakoSwali la msingi ni kwanini anauza na wakati huo huo anatuambia Magu anajenga uchumi mzuri sasa kwanini asiziache apate faida kufanya biashara TZ