Tanzania kama nchi tujiulize ni kwanini suala kubwa na linalohusu wengi kama rushwa liachiwe Rais pekee.
Yaani suala la rushwa linabidi liwe la kimfumo na sio la kiongozi mmoja tu wa nchi.
Watanzania inabidi sisi tutoe tu mawazo na kupiga kelele kwenye rushwa na tutake majibu. Mfano kama huna card ya NIDA mpaka sasa piga kelele na lalamika ukinyamaza ndiyo tunawaendekeza na habari hazifiki juu. Hawa viongozi wa chini wananufaika sana na wananchi kunyamaza. Kwenye tozo tumeona faida ya kupiga kelele lakini rushwa vilevile tupigie kelele nayo
Lakini Kiongozi wa kitengo cha rushwa ameshidwa kazi tumuombe Rais amsimamishe kazi kwa manufaa ya umma.
Yaani suala la rushwa linabidi liwe la kimfumo na sio la kiongozi mmoja tu wa nchi.
Watanzania inabidi sisi tutoe tu mawazo na kupiga kelele kwenye rushwa na tutake majibu. Mfano kama huna card ya NIDA mpaka sasa piga kelele na lalamika ukinyamaza ndiyo tunawaendekeza na habari hazifiki juu. Hawa viongozi wa chini wananufaika sana na wananchi kunyamaza. Kwenye tozo tumeona faida ya kupiga kelele lakini rushwa vilevile tupigie kelele nayo
Lakini Kiongozi wa kitengo cha rushwa ameshidwa kazi tumuombe Rais amsimamishe kazi kwa manufaa ya umma.