Kwanini Rwanda inapenda kuipeleleza sana Tanzania

Kwanini Rwanda inapenda kuipeleleza sana Tanzania

bryan2

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2016
Posts
3,323
Reaction score
4,679
Ndio Rwanda ni majirani zetu kama wanavyosema wao wanaongozwa na rais mwenye inteligensia kali Afrika nzima siwezi kulijibia hili kama ni kweli au la hasha.

Utafiti wangu mdogo nahisi kati ya nchi zinazomnyima usingizi Rwanda ni Tanzania bila shaka nahisi rais wao anatumia nguvu kubwa sana kuifahamu Tanzania in and out.

Yes anaweza kuwa na taarifa juu ya Tanzania lakini zisiwe ni taarifa anazozitaka na kwanini anapenda sana kuwa na taarifa dhidi ya Tanzania mimi na wewe hatujui.

Asilimia 100 hawezi kupata taarifa sahihi dhidi ya Tanzania kwani hata Watanzania wenyewe hawaifahamu nchi yao vizuri hii imechangiwa na ukubwa wa nchi yao na pia watanzania wengi wana habari za vijiweni tu dhidi ya nchi yao.
 
Wale Watanzania ambao hawaifahamu nchi yao, wale wanaijua Nchi yao kwa Story za Vijiweni...

Kwa Bandiko hili wewe ni mmojwapo.
 
Mwenge ukipitishwa hua haurudishwi kupitia njia uliojia, haurudi kupitia njia ile ile uliojia hua unasonga mbele haurudi nyuma

Nmekaa pale najiuliza kwanini?
 
Ndio Rwanda ni majirani zetu kama wanavyosema wao wanaongozwa na rais mwenye inteligensia kali Afrika nzima siwezi kulijibia hili kama ni kweli au la hasha...
Kwasababu Tanzania inapelelezeka kirahisi sana. Taasisi nyeti nchi hii wamejaa Wanyarwanda.
 
Msituchonganishe na katoto ketu Rwanda Wala hakana shida tumekalea na tumekavalisha nepi wenyewe so Wala hatuna tabu nacho

Pengine kana taka kujua vizuri mama yake aliemlea mpaka kufika pale alipo, karwanda na Burundi ni vitoto vyetu na tutaendelea kuvilea tu.

Sent from my itel W4001P using JamiiForums mobile app
 
Kama alishindwa kipindi Cha Magu basi imekula kwake hii nchi kubwa sana.
 
Back
Top Bottom