Kwanini sadaka katika nyumba za ibada hazitolewi mchanganuo wa matumizi?

Kwanini sadaka katika nyumba za ibada hazitolewi mchanganuo wa matumizi?

Southern Giant

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2018
Posts
621
Reaction score
1,298
Habari zenu wakuu,

Naomba kupata muongozo katika hili.

Katika nyumba za ibada makusanyo ya sadaka huwa wanasema ni kiasi kadha lakini linapo kuja swala la matumizi hawatolei mchanganuo wa matumizi ya pesa hizo.

Je, kuna ubadhilifu nyuma ya hili?
 
Inategemea na kanisa, kama ni haya yanayojiendesha kama taasisi mchanganuo wa matumizi huwa wanasomewa viongozi kwenye vikao vyao.

Haya yanayomilikiwa na mtu binafsi fata kilichokupeleka mambo ya sadaka hayakuhusu!!
 
Chakula cha Mungu ni sala, chakula cha mwanadamu ni hela (sadaka)
 
Acha muendelee kuibiwa kwa ujinga wenu, maandiko yako wazi sana japo kuna sehemu yanajipinga yenyewe lkn kuna vifungu walivyosahau kuviharibu wale walioleta dini kwa madhumuni yao, vifungu hivyo vinawaumbua kwa wafanyayo.

Kutoa sadaka kanisani ni ujinga na umasikin wa kujitakia, maana sadaka ya kwel inaanzia nyumbani na kwa jirani zako wasio na uwezo, pia kwa wajane, mayatima na wagonjwa, hiyo ndyo sadaka inayotambulika, na kwakuwa Mungu kila kitu ni chake, basi hutakiw kusema unampa ama unamtolea bali useme ninatoa msaada kwa wahitaji na sio kusema unamtolea Muumba.

Makanisa na madhehebu hayatambulik na Mungu maana Kibiblia kanisa ni mtu nasio hayo magenge yenu ya jumapili, kanisa la kweli ni wew mtu.

Walokole wengi na wafia dini maisha yenu ni yakifukara japokuwa mnajitahidi kutoa sana lkn maisha hayabadirik jiulizeni mnakosea wap? mbona hawa mnaowaita wapagani wakitoa wanabarikiwa sana? jibu ni wanabarikiwa kwasabbu wanajua target ya sadaka/msaada ni kwa wahitaji yaan masikin na wagonjwa, hivy bas hata Muumba hawez kuwasahau hatakama maisha yao mnawaona wabaya sana na wadhambi..

Kawaangalie wanasiasa na wale mapedeshee wanaojitahidi kuhudumia jamii jinsi maisha yao yalivyo mazur na yenye kuneemeka kulko nyie wanafiki wa dini.

Mungu wa kweli hatambui dini wala kanisa lolote la nyakati hizi, acheni kupoteza muda wenu na pesa zenu kuwatolea matapeli na majambazi(wachungaj,manabii na wainjilist haaa wote ni majambazi)
Warumi 16:17-19
Romans | Warumi

Swahili
16:17 Ndugu zangu, nawasihi, waangalieni wale wafanyao fitina na mambo ya kukwaza kinyume cha mafundisho mliyojifunza; mkajiepushe nao.

Swahili
16:18 Kwa sababu walio hivyo hawamtumikii Bwana wetu Kristo, bali matumbo yao wenyewe; na kwa maneno laini na ya kujipendekeza waidanganya mioyo ya watu wanyofu.
 
Acha muendelee kuibiwa kwa ujinga wenu, maandiko yako wazi sana japo kuna sehemu yanajipinga yenyewe lkn kuna vifungu walivyosahau kuviharibu wale walioleta dini kwa madhumuni yao, vifungu hivyo vinawaumbua kwa wafanyayo.

kutoa sadaka kanisani ni ujinga na umasikin wa kujitakia, maana sadaka ya kwel inaanzia nyumbani na kwa jirani zako wasio na uwezo, pia kwa wajane, mayatima na wagonjwa, hiyo ndyo sadaka inayotambulika, na kwakuwa Mungu kila kitu ni chake, basi hutakiw kusema unampa ama unamtolea bali useme ninatoa msaada kwa wahitaji na sio kusema unamtolea Muumba.

Makanisa na madhehebu hayatambulik na Mungu maana Kibiblia kanisa ni mtu nasio hayo magenge yenu ya jumapili, kanisa la kweli ni wew mtu.

walokole wengi na wafia dini maisha yenu ni yakifukara japokuwa mnajitahidi kutoa sana lkn maisha hayabadirik jiulizeni mnakosea wap? mbona hawa mnaowaita wapagani wakitoa wanabarikiwa sana? jibu ni wanabarikiwa kwasabbu wanajua target ya sadaka/msaada ni kwa wahitaji yaan masikin na wagonjwa, hivy bas hata Muumba hawez kuwasahau hatakama maisha yao mnawaona wabaya sana na wadhambi..

kawaangalie wanasiasa na wale mapedeshee wanaojitahidi kuhudumia jamii jinsi maisha yao yalivyo mazur na yenye kuneemeka kulko nyie wanafiki wa dini.

Mungu wa kweli hatambui dini wala kanisa lolote la nyakati hizi, acheni kupoteza muda wenu na pesa zenu kuwatolea matapeli na majambazi(wachungaj,manabii na wainjilist haaa wote ni majambazi)
Warumi 16:17-19
Romans | Warumi

Swahili
16:17 Ndugu zangu, nawasihi, waangalieni wale wafanyao fitina na mambo ya kukwaza kinyume cha mafundisho mliyojifunza; mkajiepushe nao.

Swahili
16:18 Kwa sababu walio hivyo hawamtumikii Bwana wetu Kristo, bali matumbo yao wenyewe; na kwa maneno laini na ya kujipendekeza waidanganya mioyo ya watu wanyofu.
Umeongea mengi ila mostly umeongea emotions tu. Sadaka zimeelekezwa kwenye Biblia na Mungu mwenyewe sio suala ambalo padri au mchungaji aliamka akajiamulia tu. Soma Malach 3 utaona.

Pia kama wewe ni msomaji mzuri wa Biblia ungekuwa umeona mifano ya sadaka iliyokuwa ikitolewa all over agano la kale mpaka agano jipya.Kana kwamba haitoshi kuna mfano wa yule mama mjane aliyetoa sadaka na Yesu akasema ametoa zaidi kuliko wote (ungekuwa msomaji mzuri wa biblia ungeona hii). Baada ya Yesu kwenye matendo ya Mitume unamkumbuka yule jamaa aliyeuza shamba ye na mkewe akataka kuzuia mpunga akaishia kufa yeye na mkewe?hii yote ni mifano iliyokuwa ikionesha sadaka kutolewa kwa viongozi na nyumba za ibada. Usipotoshe watu.

Hoja ya msingi ingekuwa namna hii sasa.Ni ujinga kumuacha jirani yako anakufa na njaa halafu hiyo hela ukaenda kuitoa kanisani.Haimaanishi kuwa ni dhambi kutoa sadaka ila Mungu anataka Tuonyeshane upendo kwanza zaidi ya Yote.Na ndo maana pamoja na kuwa palikuwa na sheria ya kutokula mikate ya hekaluni lakini Yesu alitoa mfano wa Daudi na watu wake walipoona njaa walikula ila mikate na hawakuhesabiwa hatia. Jambo la msingi tufanye kila tunachofanya kwa upendo,Saidia jirani zako,saidia wwnye mahitaji lakini pia toa sadaka kwenye nyumba yako ya ibada,toa zaka kama Biblia inavyoeelekeza,tembelea wagonjwa hata kama huna hata mia ya kupeleka.Lakini pia Wakristu(Believers) wanatambua haya yote peke yake hayatakupeleka mbinguni kwa sababu hata waiomini kuwa kuna Mungu wanafanya haya na tumewaona.Wakristu wanajua wataingia mbinguni only by faith not works.(Kuna watu wanashindwa kunielewa hapa,discussion for another day).

Kikubwa ni kuwa Sadaka zinatolewa kwa lengo la kuendeleza kazi ya Mungu.Viongozi wa kiroho wanatumia muda wao wote katika kuhusumia hao waumini,wanamahitaji kama chakula,malazi,mavazi,wanafamilia pia zinawategemea,wanasafiri kwa ajili ya huduma kila wakati wanahitaji nauli,nyumba za ibada zinahitaji kujengwa,zinahitaji repair na pia umeme,maji na mahitaji mengi tu hizo pesa zinatoka wapi kama sio kwenye sadaka?

Kwa hiyo ndugu usipotoshe watu kusaidia watu hakunulify kutoa sadaka.Tuonyeshe upendo kwa wenzetu lakini pia tutoe sadaka na zaka kama tulivyoelekezwa.
 
Kwa hiyo unataka kusema Mungu akikosa Sala anakufa sio?
Chukulia mfano, watu wote duniani wasiwe wanasali. itakachotokea hapo,ile imani ya kuamini yupo, itapotea; na ikishapotea maana yake na yeye anakuwa hayupo (amekufa)
 
Chukulia mfano, watu wote duniani wasiwe wanasali...kitakachotokea hapo,ile imani ya kuamini yupo, itapotea; na ikishapotea maana yake na yeye anakuwa hayupo (amekufa)
Mungu alikuwepo kabla dunia na watu hawajaumbwa.Maana yake ni kwamba alikuwepo kabla hatujaanza kusali wala kuabudu.Kwa hiyo hata binadamu leo hii wakistop kumwomba Mungu,yeye ataendelea kuwepo.

Yesu wakati anaingia Yeeusalemu wakati anakaribia kukamatwa alisema wasingeshangilia basi mawe yangeshangilia.Mungu hahitaji sala zetu ila sisi tunahitaji kuongea naye kupitia sala na maombi kwa sababu imani ya mkristu ni uhusiano binafsi baina ya Mungu na mwanadamu.Kuna uhusiano usio na mawasiliano?
 
Mungu alikuwepo kabla dunia na watu hawajaumbwa.Maana yake ni kwamba alikuwepo kabla hatujaanza kusali wala kuabudu.Kwa hiyo hata binadamu leo hii wakistop kumwomba Mungu,yeye ataendelea kuwepo.

Yesu wakati anaingia Yeeusalemu wakati anakaribia kukamatwa alisema wasingeshangilia basi mawe yangeshangilia.Mungu hahitaji sala zetu ila sisi tunahitaji kuongea naye kupitia sala na maombi kwa sababu imani ya mkristu ni uhusiano binafsi baina ya Mungu na mwanadamu.Kuna uhusiano usio na mawasiliano?
Mkuu, hivi vitabu vimeandikwa na binadamu kwa malengo maalumu. Jinsi tunavyoamini kuwa sisi hatukuwa sokwe,ingawa historia inatuambia tulikwa sokwe, ni hivyo hivyo hata kwenye vitabu tunavyoviamini tunaweza tusiviamini pia.
 
Mkuu, hivi vitabu vimeandikwa na binadamu kwa malengo maalumu. Jinsi tunavyoamini kuwa sisi hatukuwa sokwe,ingawa historia inatuambia tulikwa sokwe, ni hivyo hivyo hata kwenye vitabu tunavyoviamini tunaweza tusiviamini pia.
Sasa ndugu yangu sijakuelewa,huamini kama Mungu yupo au huamini vitabu? Kila maarifa yaliyopatikana kale sisi wa leo tunayapata kwa kusoma vitabu au kusimuliwa hakuna namna nyingine.

Kama tukihitaji kuprove Mungu yupo i will be more than happy to prove it to you na pia kama tukihitaji kufahamu uhalali wa hivi vitabu pia zipo namna za kuthibitisha. Na tunapoamua kuvikataa basi tuseme altenartive ni ipi.

Sio kila tulicholetewa na wazungu au warabu tukitie doa. Wametuletea nguo, magari, ndege modern medicine na vitu vingi sana sasa kwann Neno la Mungu lionekane kuwa lina Ajenda?
 
Habari zenu wakuu,

Naomba kupata muongozo katika hili.

Katika nyumba za ibada makusanyo ya sadaka huwa wanasema ni kiasi kadha lakini linapo kuja swala la matumizi hawatolei mchanganuo wa matumizi ya pesa hizo.

Je, kuna ubadhilifu nyuma ya hili?
Hivi huko makanisani, waumini hawapewi hata muda wa kuuliza maswali mpaka yanaletwa JF? Mbona wanafunzi wa Yesu walikuwa wanauliza? "Bwana, tuambie, mambo ambayo yatakuwa ndiyo ishara ya mwisho wa dunia ni yapi?"
 
Habari zenu wakuu,

Naomba kupata muongozo katika hili.

Katika nyumba za ibada makusanyo ya sadaka huwa wanasema ni kiasi kadha lakini linapo kuja swala la matumizi hawatolei mchanganuo wa matumizi ya pesa hizo.

Je, kuna ubadhilifu nyuma ya hili?
Waulize KKKT
 
Back
Top Bottom