carnage21
JF-Expert Member
- Jan 24, 2023
- 591
- 1,382
SAIDO NI MCHEZAJI WA LIGI KUU, KIMATAIFA HANA MAKALI
Kwenye michuano ya club bingwa barani africa msimu huu saido amecheza matches zote 6 ,group stage match 4 ,quarter final match 2 , Lakini kwenye match zote hizo alizocheza hajatoa assists wala hakufunga goal lolote.
Ila huku ligi kuu Tanzania bara mwamba ana goal 15 na assista 12 jumla kahusika kwenye magoal 27 ndiye mchezaj aliyehusika kwenye uoatikanaji wa magoal mengi ligi kuu Tanzania bara kuliko mchezaji yeyote.
Saido ni moja ya wachezaji waliokuwa wakilalamikiwa sana na mashabiki kwenye michuano ya club binga kwani alikuwa anapoteza mioira mingi sana alikuwa ana dribo sana mpira bila mafanikio yeyotw , hadi wachambuzi na mashabiki wa simba sc wali rise kwnini nafasi yake isichukuliwe na Moses phir ?
SWALI LANGU LA MSINGI
Ni kitu gani kilikuwa kinamfanya saido ashindwe ku-perfom vizuri Kimataifa kama anavyofanya NBC pl ?
tiririka Tujifunze kupitia wewe 🔝
Kwenye michuano ya club bingwa barani africa msimu huu saido amecheza matches zote 6 ,group stage match 4 ,quarter final match 2 , Lakini kwenye match zote hizo alizocheza hajatoa assists wala hakufunga goal lolote.
Ila huku ligi kuu Tanzania bara mwamba ana goal 15 na assista 12 jumla kahusika kwenye magoal 27 ndiye mchezaj aliyehusika kwenye uoatikanaji wa magoal mengi ligi kuu Tanzania bara kuliko mchezaji yeyote.
Saido ni moja ya wachezaji waliokuwa wakilalamikiwa sana na mashabiki kwenye michuano ya club binga kwani alikuwa anapoteza mioira mingi sana alikuwa ana dribo sana mpira bila mafanikio yeyotw , hadi wachambuzi na mashabiki wa simba sc wali rise kwnini nafasi yake isichukuliwe na Moses phir ?
SWALI LANGU LA MSINGI
Ni kitu gani kilikuwa kinamfanya saido ashindwe ku-perfom vizuri Kimataifa kama anavyofanya NBC pl ?
tiririka Tujifunze kupitia wewe 🔝