Kwanini Samatta na Kiba ndio mastaa maarufu zaidi Bongo?

K 4 LIFE

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2015
Posts
2,567
Reaction score
416
Samatta na Kiba kwa sasa ndio maarufu zaidi ndani ya Bongo waliofanikiwa kimataifa, Kiba alifanikiwa kimataifa kwa kutoa singo na R.KELLY na Samatta kafanikiwa kwa kupata timu ya ulaya ya GENK.
 
Haruna Moshi alienda kucheza ulaya, ila sio maarufu kuliko Kanavalo wa Yanga, au Hajibu wa Simba.
 
Wasanii wa KENYA waliofanya kolabo na mastaa wa majuu na hawaringi.
1. Amani- R. kelly wa U.S.A wakiwa na akina Kiba.
2. Redsan ft Demarco wa Jamaica-
badder than most.
3. Redsan ft Lace(partner wa Brick) wa Jamaica- Touch me there.
4. Wyre and Morgan heritege wa Jamaica - Guarantee.
5. Wyre ft Alaine wa Jamaica- nakupenda pia.
6. Wyre ft Cecile wa Jamaica - She said that rmx.
7. Erick wainaina na Oliva mtukudzi wa Zimbambwe -Twende mbele
 
Kumzungumzia kiba ni sawa na kumwongelea saida karoli kwa sasa hahahah jamaa kaisha vibaya sijui kushuka kumemchukulia na mashairi yan jamaa hana ishu
 
Mtoa mada ameeleza Ally amekuwa maarufu kwa sababu aliimba pamoja mwanamziki wa Marekani, yaani nje Afrika.

Ndipo nimempa mfano kuwa Haruna, amecheza Ulaya lakini kwa sasa hana umaarufu kuliko Hajibu wa Simba au Kanavalo wa Yanga.

Naipenda sana Simba na Haruna sina chuki nae ila ukweli lazima usemwe, ingawa waweza kuwa mchungu kwa watu kama wewe.
 
sasa nimeamini kuwa shabiki wa kiba lazima uwe mnafiki...,dah
 
Haruna Moshi alienda kucheza ulaya, ila sio maarufu kuliko Kanavalo wa Yanga, au Hajibu wa Simba.
Hehehe wewe utakua umemsikia Haruna Moshi Shaaban Mawela Boban Fundi Mwalimu Mtaalamu Juzi tu Baada ya Kuwapiga watu Magoli mawili.

Kwa taarifa yako Boban Ni maarufu kuliko hao uliowataja, na alijulikana mapema kuliko hao unaohisi Ni maarufu.
 
Chuki nyingine na hizi team zinatia wendowazimu tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…