Prince Nadheem
JF-Expert Member
- Feb 25, 2012
- 1,259
- 1,056
Habari za leo wajamvi?
Kama heading invyosema hapo juu. kwa sasa Samsung mobile phones zinaonekana kutoa mid range budget phones kwa kasi sana kila leo ili kuendana na makampuni ya simu ya kichina. Kwa upande wa makampuni ya simu ya kichina nao wameonekana kuja juu kwa kuweka specifications bora zaidi na zaidi na hata kwa performance na kuanza kuwa tishio kwa samsung kwa soko la simu za mkononi za Android.
Mfano wa simu zifanyazo vizuri kwa sasa hasa kwenye masoko ya Africa, India, Pakistan, Latin America etc ni:
-Xiaomi
-Oppo
-Vivo
-Huawei
-ZTE etc.
Sasa katika hoja ya msingi, Samsung kwa segment ya budget phones alianza kwa kuweka chipset za Exynos au snapdragon ambazo ni nzuri hasa katika simu zake za A10, A20, A20s, A20e N.K.
Sasa hivi karibuni kaanza kuharibu kwa kuweka Helio MTK processor kwa simu zake kama vile A10s, A21, A12 N.K
Sasa nimeangalia nikaona kabisa kuwa Samsung anaanza kupotezwa na hawa jamaa wa China kwa maana baadhi ya makampuni wanatumia processor za Exynos na Snapdragon na ni simu za kwenye the same category na pricewise Samsung bado anakuwa yupo juu kidogo. Na pia hizi kampuni za simu za kichina zinatoa decent specs hata upande wa storage.
Mfano simu kama Oppo A53 na Vivo Y20 zinatumia chipset ya exynos na storage ya 64GB/3-4 Gb RAM. Kwa upande wa Samsung simu ya category hiyo ni Samsung A12 (MTK Helio, 32/3 GB minimum). Sasa hii imekaaje kwenu wataalamu kwa Sammy kuanza hizo MTK and selling at a higher price kuliko ilivyotakiwa iwe?
Karibuni sana kwa michango yenu
Cc: CHIEF MKWAWA
Kama heading invyosema hapo juu. kwa sasa Samsung mobile phones zinaonekana kutoa mid range budget phones kwa kasi sana kila leo ili kuendana na makampuni ya simu ya kichina. Kwa upande wa makampuni ya simu ya kichina nao wameonekana kuja juu kwa kuweka specifications bora zaidi na zaidi na hata kwa performance na kuanza kuwa tishio kwa samsung kwa soko la simu za mkononi za Android.
Mfano wa simu zifanyazo vizuri kwa sasa hasa kwenye masoko ya Africa, India, Pakistan, Latin America etc ni:
-Xiaomi
-Oppo
-Vivo
-Huawei
-ZTE etc.
Sasa katika hoja ya msingi, Samsung kwa segment ya budget phones alianza kwa kuweka chipset za Exynos au snapdragon ambazo ni nzuri hasa katika simu zake za A10, A20, A20s, A20e N.K.
Sasa hivi karibuni kaanza kuharibu kwa kuweka Helio MTK processor kwa simu zake kama vile A10s, A21, A12 N.K
Sasa nimeangalia nikaona kabisa kuwa Samsung anaanza kupotezwa na hawa jamaa wa China kwa maana baadhi ya makampuni wanatumia processor za Exynos na Snapdragon na ni simu za kwenye the same category na pricewise Samsung bado anakuwa yupo juu kidogo. Na pia hizi kampuni za simu za kichina zinatoa decent specs hata upande wa storage.
Mfano simu kama Oppo A53 na Vivo Y20 zinatumia chipset ya exynos na storage ya 64GB/3-4 Gb RAM. Kwa upande wa Samsung simu ya category hiyo ni Samsung A12 (MTK Helio, 32/3 GB minimum). Sasa hii imekaaje kwenu wataalamu kwa Sammy kuanza hizo MTK and selling at a higher price kuliko ilivyotakiwa iwe?
Karibuni sana kwa michango yenu
Cc: CHIEF MKWAWA