watu hawa wawili yaani huyu anatumia jina Troll JF na mwenzake anaeitwa FRESHMAN.
Hawa watu nilicho ki notice kwao hawana tatizo na forex bali wana wivu mkubwa sana kwa ONTARIO na ni dhairi kabisa bwana mdogo kawazidi akili na pesa kwa mbali mmno na hilo linawauma.
Na hili kuthibitisha hawa wawili wanasumbuliwa na wivu na uchawi ndani yao, angalia kila mmoja amewahi kuanzisha thread kwa nyakati tofauti na zote zikimlenga ONTARIO kwa hii training yake ya forex.
Angalia comments zao kwenye threads zina aina hii.
Hii thread imekaa kipuuzi na ni kiashiria cha umaskini mkubwa wa mleta mada pole sana kibaraka wa Lumumba ni dhairi bado una struggle sana kwenye life.
Yaani unashangaa ONTARIO kuwa na possibility kuingiza 52m kwa mwezi, wakati kuna watu hiyo hela wanaingiza kwa seminar!?
Wivu,uchawi na chuki sio mzuri kwa afya ya akili yako. Kama vipi hata wewe unaweza Kuanzisha program yoyote hili ku scam raia uingize hiyo milioni 52 kwa mwezi.