Kwanini Sera ya Faragha haizingatiwi?

Kwanini Sera ya Faragha haizingatiwi?

malisak

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2006
Posts
694
Reaction score
775
Kinachowapelekea watu kujireko video za utupu wawapo faragha ni kitu gan? Tena ikitokea mmeachana mmoja taamua kuachilia picha hizo kwanini tusitiriane?

Kwanza najiuliza unapokuwa na UPWIRU wako hivi nguvu ya kuanza kujirekodi unaitolea wapi? Maana najua utakuwa na KIMUHEMUHE cha kukata na mundu ili uweze kutii kiu yako huo uthubutu unautoa wapi sasa ukashika na simu na kutega Camera? Tuache mambo ya kuiga.
 
Kujitambua kwenye lolote ni kitu muhimu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Bro Mimi ninazo mpak nikiingia kwenye google Drive nizaidi ya miaka hata 15 Ago sijawai kuwaza Wala kufungua hio google Drive mpaka Sasa picha za ma Ex kadhaa ila siwez kuja kuzi release hata ikitokea nini yaani Ile hutakiwa kua END TO END ENCRYPTED

Kwanza mtu YEYOTE anae jitambua hawezi kukubali kutuma picha zake za utupu..
 
Refer to Chris Brown..
"Make you cry like a baby oh, let's go pro and make a video"
Mapenzi yana ujinga mwingi, ukitaka kuwa politically right kila mara pia yanaboa.
 
Back
Top Bottom