The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
Nyerere simlaumu sana maana kwa sera zake za ujamaa sioni shida sana. Shida iko kwa watendaji.Yaani Nyerere miaka 25 madarakani ilishindwa hata kujenga chuo kikuu huko musoma! Na musoma pasingekuwa pamepoa hivyo kama pangekuwa na chuo kikuu!
Haya matusi Sasa haya mkale mlimani city sisi tumegoma kuwapikiaMimi sioni shida Sana.
Huko Dodoma , Morogoro na Dar Kuna vyuo kibao lakin vimejazwa na wasukuma,wahaya,wanyakyusa na wachaga . wenyeji unaweza husikute hata mmoja darasani zaidi ya kuwa mama ntilie nje[emoji23][emoji23]
Kipi Bora wasomi au majengo ya vyuo.
Kagera hakunaga vyuo vya serikali lakin ndo mkoa wenye wasomi wengi hapa nchini
Nyerere alikuwa anaangalia maendeleo kwa tanzania nzima. Sio kanda ya ziwa tu.Kanda ya Ziwa Magufuli tu ndio alipakumbuka. Hata home boy Nyerere hakupakumbuka.
Ukiangalia mchango wa kanda ya ziwa kwenye uchumi wa nchi hii na miradi ya maendeleo ambayo serikali inapeleka kule havilingani.
Angalia, kwa takwimu za BOT, Kanda ya Ziwa inachangia zaidi ya 35% ya pato la Taifa lakini hakuna chuo kikuu cha serikali kinachoeleweka, hakuna maendeleo, hakuna uwekezaji wowote serikali imefanya.
Magufuli apumzike kwa amani tu.
Kwan cafeteria za chuo hakuna.Haya matusi Sasa haya mkale mlimani city sisi tumegoma kuwapikia
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Yaani ukifika musoma hutamani hata kuwekeza yaani pamepoa ndo maana watu wa mara wamewekeza sana mwanza!Nyerere simlaumu sana maana kwa sera zake za ujamaa sioni shida sana. Shida iko kwa watendaji.
Ukiangalia kanda ya ziwa imetoa mawaziri, viongozi wakubwa sana nchi hii lakini hawajapakumbuka kwao.
Musoma mji umepoa sana aisee.
Mngemshauri yule msukuma wenu awajengee mwanza tech badala ya kujenga chatto I A na burigi.Nasema hivo baada ya majuzi hapa kuona Serikali imeeanza ujenzi wa DODOMA TECHNICAL COLLEGE wakati Mwanza kuna tawi la chuo cha DIT ambalo linahitaji kupanuliwa na kuwa chuo kamili MWANZA TECHNICAL COLLEGE
Eneo la Kanda ya Ziwa ndo linalotoa wanafunzi wengi sana kwenye TECHNICAL College kulingana na vijana wa ukanda huo kupendelea masomo ya engineering.
Dodoma tayari ina vyuo vingi sana hivyo Serikali iangalie jinsi ya kusambaza vyuo kama hivi maeneo mengine.
Pia kwa Kanda ya Ziwa hakuna huo cha maana cha Serikali kinacho-deal na mambo ya Sayansi na Teknolojia.
Ombi langu kwa Serikali naomba sana Technical College Mwanza ipanuliwe ili watu wasome Diploma mbalimbali za engineering na niikumbusheTechnical za aina hii zipo Mbeya, Arusha na Dar es salaam.
Mtu wenu jiwe alikuwa Rais alishindwa nini kuwajengea hizo technical college Matokeo yake akaenda jenga uwanja wa ndege huko chato maporini, mara lihospital kubwa na kusahau mwanza ka ndio mji mkubwa kanda ya ziwa, so jilaumuni wenyeweWewe unafikiri kwann Kalemani kaondolewa?
Serikali haitaki Wasukuma wawe Wataalamu.....!!!!!Ndiyo maana Magufuli alikuwa ana lazimisha MAENDELEO YAENDE KANDA YA ZIWA. Kwa sasa baada ya JPM kuondoka taraatibu Serikali imeanza kurudishareverse ili Wasukuma wabaki palepale!!!!
Sina hakika kama UDSM , UDOM, SOKOINE, IFM au BUSINESS COLLEGE kama wana Branches zao Kanda ya Ziwa( Kwa maana ya Mwanza).
Ukichungulia kwa jicho la tatu unaweza kugundua kuna Ubaguzi wa chinichini kwa Sukumaland.
Mbona unajibu kwa hasira sana?Mtu wenu jiwe alikuwa Rais alishindwa nini kuwajengea hizo technical college Matokeo yake akaenda jenga uwanja wa ndege huko chato maporini, mara lihospital kubwa na kusahau mwanza ka ndio mji mkubwa kanda ya ziwa, so jilaumuni wenyewe
Vyuo vijengwe kusini kwa Tanzania kumesahaulika kwa makusudi sanaNasema hivo baada ya majuzi hapa kuona Serikali imeeanza ujenzi wa DODOMA TECHNICAL COLLEGE wakati Mwanza kuna tawi la chuo cha DIT ambalo linahitaji kupanuliwa na kuwa chuo kamili MWANZA TECHNICAL COLLEGE
Eneo la Kanda ya Ziwa ndo linalotoa wanafunzi wengi sana kwenye TECHNICAL College kulingana na vijana wa ukanda huo kupendelea masomo ya engineering.
Dodoma tayari ina vyuo vingi sana hivyo Serikali iangalie jinsi ya kusambaza vyuo kama hivi maeneo mengine.
Pia kwa Kanda ya Ziwa hakuna huo cha maana cha Serikali kinacho-deal na mambo ya Sayansi na Teknolojia.
Ombi langu kwa Serikali naomba sana Technical College Mwanza ipanuliwe ili watu wasome Diploma mbalimbali za engineering na niikumbusheTechnical za aina hii zipo Mbeya, Arusha na Dar es salaam.
watu wanazungmza vtu vya msing ww unakuja na huu otopolo daa!!ubinadam kazKanda ya ziwa ilihamia Chato, nadhani ulikuwa usingizini.
Sasa ni zamu ya pwani na visiwani.
si kweli mkuu, tusiingie kwenye mtego huu.Wewe unafikiri kwann Kalemani kaondolewa?
Serikali haitaki Wasukuma wawe Wataalamu.....!!!!!Ndiyo maana Magufuli alikuwa ana lazimisha MAENDELEO YAENDE KANDA YA ZIWA. Kwa sasa baada ya JPM kuondoka taraatibu Serikali imeanza kurudishareverse ili Wasukuma wabaki palepale!!!!
Sina hakika kama UDSM , UDOM, SOKOINE, IFM au BUSINESS COLLEGE kama wana Branches zao Kanda ya Ziwa( Kwa maana ya Mwanza).
Ukichungulia kwa jicho la tatu unaweza kugundua kuna Ubaguzi wa chinichini kwa Sukumaland.
Kuna vyuo vikuu vingapi nchi hii? Je kila mkoa kipo?Daaa yaani kanda nzima hakuna chuo kikuu cha serkali kwa kweli maajabu haya!
Usirukie kila mkoa wakat mtoa mada kasemea kwa kanda nzima ya ziwa hakuna kikuu cha serikali, kila mkoa serikali yako inaweza kujenga maana vilivyopoKuna vyuo vikuu vingapi nchi hii? Je kila mkoa kipo?
Watu wananiona kama napendelea kanda ya ziwa kwenye maada hii! Ila naangalia population,economic power ya kanda ya ziwa alafu chuo kikuu cha serkali hamna hii haiko sawa!Usirukie kila mkoa wakat mtoa mada kasemea kwa kanda nzima ya ziwa hakuna kikuu cha serikali, kila mkoa serikali yako inaweza kujenga maana vilivyopo
kanda ya pwani udsm,sua,ardhi,mzumbe.
Katikati ya nchi udom.
Nyanda za juu kusini kuna MUST.
Kaskazini kuna ATC.
Kanda ya ziwa kuna PRiVATE cha SAUT.
Zilikuwepo technical colleges 4, Dar es salaam, Arusha, Mbeya na Karume Zanzibar. Mbeya na Dar zilisha badirishwa hadhi, sjui kuhusu hizo mbili. Mwanza kuna tawi la DIT, lakini nahisi unaufahamu mdogo kuhusu mfumo wa elimu ya ufundi na uhandisi.Nasema hivo baada ya majuzi hapa kuona Serikali imeeanza ujenzi wa DODOMA TECHNICAL COLLEGE wakati Mwanza kuna tawi la chuo cha DIT ambalo linahitaji kupanuliwa na kuwa chuo kamili MWANZA TECHNICAL COLLEGE
Eneo la Kanda ya Ziwa ndo linalotoa wanafunzi wengi sana kwenye TECHNICAL College kulingana na vijana wa ukanda huo kupendelea masomo ya engineering.
Dodoma tayari ina vyuo vingi sana hivyo Serikali iangalie jinsi ya kusambaza vyuo kama hivi maeneo mengine.
Pia kwa Kanda ya Ziwa hakuna huo cha maana cha Serikali kinacho-deal na mambo ya Sayansi na Teknolojia.
Ombi langu kwa Serikali naomba sana Technical College Mwanza ipanuliwe ili watu wasome Diploma mbalimbali za engineering na niikumbusheTechnical za aina hii zipo Mbeya, Arusha na Dar es salaam.
Kanda ya ziwa, sogea Shinyanga, Tabora mpaka Kigoma, hakuna chuo kikuu cha serikali.Ni kweli ila serkali lazima iangalie mfano mkoa wa mwanza na ukubwa wake hauna chuo kikuu cha serkali! Na ukisema mwanza maana yake ukanda wote wa ziwa!
Mkuu nasema sawa kilicho badilishwa ni mbeya kuwa MIST na vyuo hivi vinatoa technicians wenye diploma japokuwa saiz zinatoa degree pia! Usifikir mi sijui so technical college sio vocational training college! Hicho cha mwanza ni branch ya DIT haijawa na course za kutosha nahakijapanuliwa pia na ndo ninachohoji hapa!Zilikuwepo technical colleges 4, Dar es salaam, Arusha, Mbeya na Karume Zanzibar. Mbeya na Dar zilisha badirishwa hadhi, sjui kuhusu hizo mbili. Mwanza kuna tawi la DIT, lakini nahisi unaufahamu mdogo kuhusu mfumo wa elimu ya ufundi na uhandisi.
Ile likuwa inajengwa VETA sio Tecnical College. Fungu lilihamishwa toka upanuzi wa CHUO CHA UTUMISHI WA UMMA TABORA ili kuwa chuo kikuu, na kuhamishiwa Chato. Tabora walijenga ghorofa moja tu na mradi ukasimama.kuna mji unaitwa Chato kanda ya ziwa, waliwezeshwa kuwa na technical collage, ama ujenzi haujakamilishwa
Kusini Mtwara,Lindi na Ruvuma Kuna chuo gani au nao sio Watanzania?Usirukie kila mkoa wakat mtoa mada kasemea kwa kanda nzima ya ziwa hakuna kikuu cha serikali, kila mkoa serikali yako inaweza kujenga maana vilivyopo
kanda ya pwani udsm,sua,ardhi,mzumbe.
Katikati ya nchi udom.
Nyanda za juu kusini kuna MUST.
Kaskazini kuna ATC.
Kanda ya ziwa kuna PRiVATE cha SAUT.