Kwanini Serikali haijengi Techinical College Kanda ya Ziwa badala yake wanarundika vyuo vyote Dodoma?

Yaani hii serikali ina maajabu sana,ilishashindwa nini kuanzisha chuo kikuuu cha serikali kanda ya ziwa?Kazi kulazimisha tozo tu.
 
Ndo akili yako ilivyo kutuma! Nimepokea ila tumia lugha nzuri!
 
Mleta mada kwenye nchi hii umeiona Kanda hiyo..Mnashida sana nyie!!
 
Mleta mada ana hoja lakini Raha ya Elimu uifuate mbali na nyumbani ,kumbukumbu zinaonyesha wasukuma na wahaya ndiyo wamefuata elimu huku Dar es Salaam,wenyeji siyo wengi. mawazo ya kujenga chuo kikuu kila kanda,labda kwa ajili ya kutoa ajira kwa watumishi wa ngazi za chini.
 
Hujui kitu kabisa. Tunaongelea kanda ya ziwa wewe unatuletea habari za mkoa wa Kagera pekee. Hii inaonyesha jinsi iq yako ilivyo ndogo. Kwa taarifa yako mapori yote yaliyoko mkoa wa Kagera ni hifadhi za Taifa. Pamoja na hayo bado mkoa wa Kagera una idadi ya watu wengi kuliko hiyo Dodoma yako. Sasa nieleze katika mikoa mingine ya Kanda ya ziwa ni upi una mapori ? Wewe jinga hujui kitu.
 
Then Na nyie msubirie ni zamu ya kwingine. Ilikua uteuzi kanda, mrqdi kanda kwani mwalipa kodi wenyewe? Halafu elimu huwa hailetwi tu inafuata uhitaji. Mngeomba hata chuo cha kilimo Na pembejeo zake. Wakati mwingine jijueni kwamba mnahitaji nini Na kwa waksti gani.
Watu wananiona kama napendelea kanda ya ziwa kwenye maada hii! Ila naangalia population,economic power ya kanda ya ziwa alafu chuo kikuu cha serkali hamna hii haiko sawa!
 
Hapa umeongea kwa hisia sio ukweli

Kagera una watu 3.2 million. Ni mkoa wa tatu nchini kwa idadi ya watu baada ya mkoa wa dar na mwanza

Kagera una population density ya 124 per kilometre ukiwa mkoa wa nne nchini baada ya dar, mwanza na Kilimanjaro.

Sasa wew kagera unayosema ni ipi
 
Tulipokuwa tunapinga mlundikano wa miradi isiyokuwa na tija kule Chato ulikuwa umekufa? Kupitia Chato Kanda ya Ziwa mlishabarikiwa sana... Daraja, uwanja wa ndege, hifadhi ya Taifa, nyumba za mfano NHC, n.k.
Hii si zamu yenu! Kaeni kwa upole dawa iwaingie vizuri!

NB: Kitakacho tutoa kwenye huu mkwamo wa upendeleo wa maeneo ni SERIKALI YA MAJIMBO!
 
Chuo cha kilimo kipo Ukiruguru Missungwi
 
Imetoka hiyo mlipewa bahati mkapewa john mkashindwa kumlinda
Wakamjaza maujinga akajaa; akalewa sifa akaanza kuwatukana wenye systems zao. Kibaya zaidi akadiriki kujilinganisha na MUNGU!
Yaliyotokea sote mashahidi!
 
Chuo cha kilimo kipo Ukiruguru Missungwi
Mnahitaji chuo kama SUA. Pia mnahitaji viwanda vya mbolea na viuatilifu pamoja na mbegu. Baada ya hapo mnahitaji viwanda vya kusindika vyakula. Know your priority aisee
 
Nadhani umeeleweka nusu na nusu iliyobaki ni robo tu ya wadau ndo wamekuelewa. Vyuo ni chachu kubwa ya maendeleo mahala husika na ndo maana kila nchi ina chuo chake kwanza. Ukiachia elimu na tafiti kuzunguka eneo chuo kilipo, uchumi unakuwa kwa haraka sana palipo na vyuo kwasababu ya shughuri nyingi za kibinadamu kuongezeka, watawala isipokuwa jpm r.i.p alijitahidi na wenzie wakamchukia ila alikuwa na ndoto as long chato iko lake zone basi iwe faida kwa zone in btn wamemuua. Tunasidia sana kuendeleza kwa waswahili make vyuo vinawapa uchumi japo wao wamekalia kuwa madalali wa nyumba na m.ntilie
 
kuna mji unaitwa Chato kanda ya ziwa, waliwezeshwa kuwa na technical collage, ama ujenzi haujakamilishwa
Usifikiri kuwa kila Chuoo ni Chuo Kikuu ndugu!! Kilichojengwa Chato ni VETA.....!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…