Kwanini serikali haiwezi kuchapisha hela nyingi na kuwagawia watu ili kuondoa umasikini? Hii hapa elimu kidogo

Kwanini serikali haiwezi kuchapisha hela nyingi na kuwagawia watu ili kuondoa umasikini? Hii hapa elimu kidogo

Raphael Mtui

Member
Joined
Nov 26, 2024
Posts
78
Reaction score
204
Karibu kila mtu amewahi kujiuliza swali hili.

Kwa nini serikali isi-print fedha nyingi na kuwagawia wananchi ili waondokane na umasikini?

Ni kweli, kila nchi ina uhuru wa kuamua ichapishe kiasi gani cha fedha na kukiingiza kwenye uchumi, ama tuite mizunguko ya fedha.

Lakini kama tunataka uchumi ufe leo leo, basi serikali ichapishe mapesa mengi na kuyaingiza kwenye mzunguko!

Ngoja tukufafanulie: Iko hivi; kinachofanya mtu aulize swali hili ni pale tu anapodhani ukuaji wa uchumi ni mabunda ya pesa kuwa mitaani.

Iko hivi: noti nyingi sio ukuaji wa uchumi hata kidogo. Yaani, pesa sio uchumi, wala sio utajiri, bali pesa ni kitu kinachosaidia tu kubadilisha bidhaa.

Sasa sikia: kama nchi ikitaka kuwa tajiri kwa ku-print hela nyingi na kuziruhusu ziingie mtaani, kuna mabalaa mawili:

La kwanza ni hyper-inflation, yaani mfumko mkubwa wa bei unaoweza kuporomosha uchumi kabisa.

Tuna nchi tatu duniani zilizowahi kufanya hili jambo.

Ujerumani, Venezuela na Zimbabwe.

Mwaka 2018, Venezuela walichapisha mihela, haraka nchi ikazama kwenye hyper-inflation. Mfano, kuku wa shilingi 5000 alipanda bei akauzwa milioni 15!

Mwaka 2008 hapo Zimbabwe, mabunda ya pesa yalichapishwa, mshahara wa mwalimu ukafika matrilioni kwa mwezi, lakini bei ya mkate pekee ikawa bilioni 300!

Bei ya pipi ikawa dola za Zimbabwe milioni 231!

Mwaka 1923 Ujerumani ilichanganyikiwa, wafanyakazi wakaongezewa mishara yao maradufu lakini haikufua dafu!

Ikawa balaa pale Ujerumani.

Swali ni kwa nini kuchapisha pesa nyingi kusababishe mfumuko wa bei?

Ni rahisi mno! Fikiri hapo ulipo una elfu hamsini pekee, kisha ukapewa milioni mia nane sasa hivi: Jambo la kwanza utakalofanya ni shopping. Utahakikisha unanunua kila ulichotamani siku nyingi!

Fikiri watu wote nchini wakagawiwa mapesa kama wewe. Kila mtu atakimbilia manunuzi.

Sasa, kinachofuata kwa haraka ni nini? Ni mfumko wa bei! Vitu vitapanda bei vibaya mno!

Kwa nini vipande bei? Kwa sababu kila mtu anakimbilia madukani kufanya manunuzi. Kila mtu amepewa 'purchasing power'. Kila mtu amekuwa mteja. Kila mtu yupo njiani kwenda kununua.

Bidhaa ni zile zile, ila pesa zimeprintiwa nyingi kuliko uzalishaji wa bidhaa na huduma za nchi husika. Puuuuu! Mfumuko wa bei utakaoporomosha kabisa uchumi!

Lakini usisahau, bidhaa zikipanda bei ni nini kinafuata? Thamani ya pesa kushuka haraka, kiasi ambacho watu hawatataka hata kuitumia.

Ngoja nikupe mfano: kuna mikate milioni mbili nchini nzima. Kila mkate unauzwa 1000. Mikate yote ni sh. bilioni mbili.

Ila nchi ikaprint mapesa mengi kupitiliza na kuyaingiza mitaani. Matokeo yake, watu wakaanza kununua mikate hadi wale waliokuwa wakichemsha viazi wanavyolima shambani kwao watatamani wabadilishe mlo.

Hata wale waliokuwa wakinunua mkate mmoja watataka kununua mikate kumi. Baada ya saa chache, mikate haitauzwa tena sh 1000 mkate mmoja utauzwa 100,000!

Wafanyakazi wataandamana kutaka mishara iongezwe, kila mahali itakuwa ni fujo, nchi haitatawalika, kisa ni nini, serikali imeprint hela nyingi na kuziingiza kwenye mzunguko.

Uchumi kukua ni nini? Sio mabunda ya pesa! Mabunda ya pesa ni kujidanganya kuwa ni uchumi umekua.

Kumbe uchumi kukua ni pale tu uzalishaji wa bidhaa na huduma utakapoongezeka, sio nje ya hapo hata kidogo!

Ndio maana serikali huchapisha pesa kiwango cha asilimia 2-3 tu ya pato la ndani, yaani GDP.

Raphael Mtui 0762731869
 
Ulisoma BaE au BscE?

45% good trial.
Umempendelea sanasana 35% ni fail, hakuna sehemu kaweka msingi wa currency valuation na kupanda au kushuka kwake kwa thamani,

US inachapisha hela kila siku na bado hela yao ina thamani, wametoka Kwenye commodity backing, wapo kwenye FIAT. Lakini nchi za dunia ya tatu haziwezi fanya hivyo kwanini.

Mengine ni maelezo ya inflation tu
 
Karibu kila mtu amewahi kujiuliza swali hili.

Kwa nini serikali isi-print fedha nyingi na kuwagawia wananchi ili waondokane na umasikini?

Ni kweli, kila nchi ina uhuru wa kuamua ichapishe kiasi gani cha fedha na kukiingiza kwenye uchumi, ama tuite mizunguko ya fedha.

Lakini kama tunataka uchumi ufe leo leo, basi serikali ichapishe mapesa mengi na kuyaingiza kwenye mzunguko!

Ngoja tukufafanulie: Iko hivi; kinachofanya mtu aulize swali hili ni pale tu anapodhani ukuaji wa uchumi ni mabunda ya pesa kuwa mitaani.

Iko hivi: noti nyingi sio ukuaji wa uchumi hata kidogo. Yaani, pesa sio uchumi, wala sio utajiri, bali pesa ni kitu kinachosaidia tu kubadilisha bidhaa.

Sasa sikia: kama nchi ikitaka kuwa tajiri kwa ku-print hela nyingi na kuziruhusu ziingie mtaani, kuna mabalaa mawili:

La kwanza ni hyper-inflation, yaani mfumko mkubwa wa bei unaoweza kuporomosha uchumi kabisa.

Tuna nchi tatu duniani zilizowahi kufanya hili jambo.

Ujerumani, Venezuela na Zimbabwe.

Mwaka 2018, Venezuela walichapisha mihela, haraka nchi ikazama kwenye hyper-inflation. Mfano, kuku wa shilingi 5000 alipanda bei akauzwa milioni 15!

Mwaka 2008 hapo Zimbabwe, mabunda ya pesa yalichapishwa, mshahara wa mwalimu ukafika matrilioni kwa mwezi, lakini bei ya mkate pekee ikawa bilioni 300!

Bei ya pipi ikawa dola za Zimbabwe milioni 231!

Mwaka 1923 Ujerumani ilichanganyikiwa, wafanyakazi wakaongezewa mishara yao maradufu lakini haikufua dafu!

Ikawa balaa pale Ujerumani.

Swali ni kwa nini kuchapisha pesa nyingi kusababishe mfumuko wa bei?

Ni rahisi mno! Fikiri hapo ulipo una elfu hamsini pekee, kisha ukapewa milioni mia nane sasa hivi: Jambo la kwanza utakalofanya ni shopping. Utahakikisha unanunua kila ulichotamani siku nyingi!

Fikiri watu wote nchini wakagawiwa mapesa kama wewe. Kila mtu atakimbilia manunuzi.

Sasa, kinachofuata kwa haraka ni nini? Ni mfumko wa bei! Vitu vitapanda bei vibaya mno!

Kwa nini vipande bei? Kwa sababu kila mtu anakimbilia madukani kufanya manunuzi. Kila mtu amepewa 'purchasing power'. Kila mtu amekuwa mteja. Kila mtu yupo njiani kwenda kununua.

Bidhaa ni zile zile, ila pesa zimeprintiwa nyingi kuliko uzalishaji wa bidhaa na huduma za nchi husika. Puuuuu! Mfumuko wa bei utakaoporomosha kabisa uchumi!

Lakini usisahau, bidhaa zikipanda bei ni nini kinafuata? Thamani ya pesa kushuka haraka, kiasi ambacho watu hawatataka hata kuitumia.

Ngoja nikupe mfano: kuna mikate milioni mbili nchini nzima. Kila mkate unauzwa 1000. Mikate yote ni sh. bilioni mbili.

Ila nchi ikaprint mapesa mengi kupitiliza na kuyaingiza mitaani. Matokeo yake, watu wakaanza kununua mikate hadi wale waliokuwa wakichemsha viazi wanavyolima shambani kwao watatamani wabadilishe mlo.

Hata wale waliokuwa wakinunua mkate mmoja watataka kununua mikate kumi. Baada ya saa chache, mikate haitauzwa tena sh 1000 mkate mmoja utauzwa 100,000!

Wafanyakazi wataandamana kutaka mishara iongezwe, kila mahali itakuwa ni fujo, nchi haitatawalika, kisa ni nini, serikali imeprint hela nyingi na kuziingiza kwenye mzunguko.

Uchumi kukua ni nini? Sio mabunda ya pesa! Mabunda ya pesa ni kujidanganya kuwa ni uchumi umekua.

Kumbe uchumi kukua ni pale tu uzalishaji wa bidhaa na huduma utakapoongezeka, sio nje ya hapo hata kidogo!

Ndio maana serikali huchapisha pesa kiwango cha asilimia 2-3 tu ya pato la ndani, yaani GDP.

Raphael Mtui 0762731869
Ahsante sana kwa kutupa Elimu hii.
 
Karibu kila mtu amewahi kujiuliza swali hili.

Kwa nini serikali isi-print fedha nyingi na kuwagawia wananchi ili waondokane na umasikini?

Ni kweli, kila nchi ina uhuru wa kuamua ichapishe kiasi gani cha fedha na kukiingiza kwenye uchumi, ama tuite mizunguko ya fedha.

Lakini kama tunataka uchumi ufe leo leo, basi serikali ichapishe mapesa mengi na kuyaingiza kwenye mzunguko!

Ngoja tukufafanulie: Iko hivi; kinachofanya mtu aulize swali hili ni pale tu anapodhani ukuaji wa uchumi ni mabunda ya pesa kuwa mitaani.

Iko hivi: noti nyingi sio ukuaji wa uchumi hata kidogo. Yaani, pesa sio uchumi, wala sio utajiri, bali pesa ni kitu kinachosaidia tu kubadilisha bidhaa.

Sasa sikia: kama nchi ikitaka kuwa tajiri kwa ku-print hela nyingi na kuziruhusu ziingie mtaani, kuna mabalaa mawili:

La kwanza ni hyper-inflation, yaani mfumko mkubwa wa bei unaoweza kuporomosha uchumi kabisa.

Tuna nchi tatu duniani zilizowahi kufanya hili jambo.

Ujerumani, Venezuela na Zimbabwe.

Mwaka 2018, Venezuela walichapisha mihela, haraka nchi ikazama kwenye hyper-inflation. Mfano, kuku wa shilingi 5000 alipanda bei akauzwa milioni 15!

Mwaka 2008 hapo Zimbabwe, mabunda ya pesa yalichapishwa, mshahara wa mwalimu ukafika matrilioni kwa mwezi, lakini bei ya mkate pekee ikawa bilioni 300!

Bei ya pipi ikawa dola za Zimbabwe milioni 231!

Mwaka 1923 Ujerumani ilichanganyikiwa, wafanyakazi wakaongezewa mishara yao maradufu lakini haikufua dafu!

Ikawa balaa pale Ujerumani.

Swali ni kwa nini kuchapisha pesa nyingi kusababishe mfumuko wa bei?

Ni rahisi mno! Fikiri hapo ulipo una elfu hamsini pekee, kisha ukapewa milioni mia nane sasa hivi: Jambo la kwanza utakalofanya ni shopping. Utahakikisha unanunua kila ulichotamani siku nyingi!

Fikiri watu wote nchini wakagawiwa mapesa kama wewe. Kila mtu atakimbilia manunuzi.

Sasa, kinachofuata kwa haraka ni nini? Ni mfumko wa bei! Vitu vitapanda bei vibaya mno!

Kwa nini vipande bei? Kwa sababu kila mtu anakimbilia madukani kufanya manunuzi. Kila mtu amepewa 'purchasing power'. Kila mtu amekuwa mteja. Kila mtu yupo njiani kwenda kununua.

Bidhaa ni zile zile, ila pesa zimeprintiwa nyingi kuliko uzalishaji wa bidhaa na huduma za nchi husika. Puuuuu! Mfumuko wa bei utakaoporomosha kabisa uchumi!

Lakini usisahau, bidhaa zikipanda bei ni nini kinafuata? Thamani ya pesa kushuka haraka, kiasi ambacho watu hawatataka hata kuitumia.

Ngoja nikupe mfano: kuna mikate milioni mbili nchini nzima. Kila mkate unauzwa 1000. Mikate yote ni sh. bilioni mbili.

Ila nchi ikaprint mapesa mengi kupitiliza na kuyaingiza mitaani. Matokeo yake, watu wakaanza kununua mikate hadi wale waliokuwa wakichemsha viazi wanavyolima shambani kwao watatamani wabadilishe mlo.

Hata wale waliokuwa wakinunua mkate mmoja watataka kununua mikate kumi. Baada ya saa chache, mikate haitauzwa tena sh 1000 mkate mmoja utauzwa 100,000!

Wafanyakazi wataandamana kutaka mishara iongezwe, kila mahali itakuwa ni fujo, nchi haitatawalika, kisa ni nini, serikali imeprint hela nyingi na kuziingiza kwenye mzunguko.

Uchumi kukua ni nini? Sio mabunda ya pesa! Mabunda ya pesa ni kujidanganya kuwa ni uchumi umekua.

Kumbe uchumi kukua ni pale tu uzalishaji wa bidhaa na huduma utakapoongezeka, sio nje ya hapo hata kidogo!

Ndio maana serikali huchapisha pesa kiwango cha asilimia 2-3 tu ya pato la ndani, yaani GDP.

Raphael Mtui 0762731869
kwa hiyo watu wote kupata uwezo wa kununua vitu muhimu kwa wakati na kulipia cash ndio kuporomoka kwa uchumi, watu kuishi kwa shida ndio uungwana aiseee
 
Ndio maana duniani kila kitu ni ubatili, ubatili mtupu!

soma kitabu cha MHUBIRI chote
 
Karibu kila mtu amewahi kujiuliza swali hili.

Kwa nini serikali isi-print fedha nyingi na kuwagawia wananchi ili waondokane na umasikini?

Ni kweli, kila nchi ina uhuru wa kuamua ichapishe kiasi gani cha fedha na kukiingiza kwenye uchumi, ama tuite mizunguko ya fedha.

Lakini kama tunataka uchumi ufe leo leo, basi serikali ichapishe mapesa mengi na kuyaingiza kwenye mzunguko!

Ngoja tukufafanulie: Iko hivi; kinachofanya mtu aulize swali hili ni pale tu anapodhani ukuaji wa uchumi ni mabunda ya pesa kuwa mitaani.

Iko hivi: noti nyingi sio ukuaji wa uchumi hata kidogo. Yaani, pesa sio uchumi, wala sio utajiri, bali pesa ni kitu kinachosaidia tu kubadilisha bidhaa.

Sasa sikia: kama nchi ikitaka kuwa tajiri kwa ku-print hela nyingi na kuziruhusu ziingie mtaani, kuna mabalaa mawili:

La kwanza ni hyper-inflation, yaani mfumko mkubwa wa bei unaoweza kuporomosha uchumi kabisa.

Tuna nchi tatu duniani zilizowahi kufanya hili jambo.

Ujerumani, Venezuela na Zimbabwe.

Mwaka 2018, Venezuela walichapisha mihela, haraka nchi ikazama kwenye hyper-inflation. Mfano, kuku wa shilingi 5000 alipanda bei akauzwa milioni 15!

Mwaka 2008 hapo Zimbabwe, mabunda ya pesa yalichapishwa, mshahara wa mwalimu ukafika matrilioni kwa mwezi, lakini bei ya mkate pekee ikawa bilioni 300!

Bei ya pipi ikawa dola za Zimbabwe milioni 231!

Mwaka 1923 Ujerumani ilichanganyikiwa, wafanyakazi wakaongezewa mishara yao maradufu lakini haikufua dafu!

Ikawa balaa pale Ujerumani.

Swali ni kwa nini kuchapisha pesa nyingi kusababishe mfumuko wa bei?

Ni rahisi mno! Fikiri hapo ulipo una elfu hamsini pekee, kisha ukapewa milioni mia nane sasa hivi: Jambo la kwanza utakalofanya ni shopping. Utahakikisha unanunua kila ulichotamani siku nyingi!

Fikiri watu wote nchini wakagawiwa mapesa kama wewe. Kila mtu atakimbilia manunuzi.

Sasa, kinachofuata kwa haraka ni nini? Ni mfumko wa bei! Vitu vitapanda bei vibaya mno!

Kwa nini vipande bei? Kwa sababu kila mtu anakimbilia madukani kufanya manunuzi. Kila mtu amepewa 'purchasing power'. Kila mtu amekuwa mteja. Kila mtu yupo njiani kwenda kununua.

Bidhaa ni zile zile, ila pesa zimeprintiwa nyingi kuliko uzalishaji wa bidhaa na huduma za nchi husika. Puuuuu! Mfumuko wa bei utakaoporomosha kabisa uchumi!

Lakini usisahau, bidhaa zikipanda bei ni nini kinafuata? Thamani ya pesa kushuka haraka, kiasi ambacho watu hawatataka hata kuitumia.

Ngoja nikupe mfano: kuna mikate milioni mbili nchini nzima. Kila mkate unauzwa 1000. Mikate yote ni sh. bilioni mbili.

Ila nchi ikaprint mapesa mengi kupitiliza na kuyaingiza mitaani. Matokeo yake, watu wakaanza kununua mikate hadi wale waliokuwa wakichemsha viazi wanavyolima shambani kwao watatamani wabadilishe mlo.

Hata wale waliokuwa wakinunua mkate mmoja watataka kununua mikate kumi. Baada ya saa chache, mikate haitauzwa tena sh 1000 mkate mmoja utauzwa 100,000!

Wafanyakazi wataandamana kutaka mishara iongezwe, kila mahali itakuwa ni fujo, nchi haitatawalika, kisa ni nini, serikali imeprint hela nyingi na kuziingiza kwenye mzunguko.

Uchumi kukua ni nini? Sio mabunda ya pesa! Mabunda ya pesa ni kujidanganya kuwa ni uchumi umekua.

Kumbe uchumi kukua ni pale tu uzalishaji wa bidhaa na huduma utakapoongezeka, sio nje ya hapo hata kidogo!

Ndio maana serikali huchapisha pesa kiwango cha asilimia 2-3 tu ya pato la ndani, yaani GDP.

Raphael Mtui 0762731869
Haiwezekani kuchapisha tuu holela basi wizi rushwa,matumizi holela kama ya chafuzi na yafananayo na hayo yakome ili zilizopo zitumike vyema kila raia aone matunda yake?
 
Umempendelea sanasana 35% ni fail, hakuna sehemu kaweka msingi wa currency valuation na kupanda au kushuka kwake kwa thamani,

US inachapisha hela kila siku na bado hela yao ina thamani, wametoka Kwenye commodity backing, wapo kwenye FIAT. Lakini nchi za dunia ya tatu haziwezi fanya hivyo kwanini.

Mengine ni maelezo ya inflation tu
Again, wazee wa AI wakishaweka uzi wao, halafu wakikutana na hoja ambazo hawajui jisi ya ku prompt ili iwape majibu huwa wanachungulia tu. Hawaongezi neno ku backup hoja zao, au wakijarbu utaona vile wanaenda nje ya line😀
 
Ningependa kusikia zaidi kwa wale walioishia kugawa marks kwa mleta mada. Napenda wakamilishe asilimia zilizobaki baada ya kumpatia marks mtoa mada kwa mfumo wa asilimia. Ningetamani kusikia nini ambacho mtoa mada kakosea au hajakizungumzia. Sitamani waishie kugawa marks bila kushare uzoefu wao katika mada hii.
 
Back
Top Bottom