Kwanini serikali haiwezi kuchapisha hela nyingi na kuwagawia watu ili kuondoa umasikini? Hii hapa elimu kidogo

Wasomi wa JF miyeyusho sana. Mwenzako kajipinda kawaletea watu mada, wewe baadala umkosoe kwa hoja kama usomi unavyotaka unakuja kugawa marks na kuulizia vyeti.

Nani asiyeweza kugawa marks sasa?
Shida ya wasomi uchwara ni kukosoa bila hoja
 
Wasomi wa JF miyeyusho sana. Mwenzako kajipinda kawaletea watu mada, wewe baadala umkosoe kwa hoja kama usomi unavyotaka unakuja kugawa marks na kuulizia vyeti.

Nani asiyeweza kugawa marks sasa?
Yawezekana ndo amepatia maarifa hapa ila kwa sababu ya ego anajikuta anamfanyia offensive mtoa mada... hopeless kabisa
 
Mpaka muda kimya!!
 
😂😂 Elimu ya uchumi ni tamu sana.
 
Wasomi wa JF miyeyusho sana. Mwenzako kajipinda kawaletea watu mada, wewe baadala umkosoe kwa hoja kama usomi unavyotaka unakuja kugawa marks na kuulizia vyeti.

Nani asiyeweza kugawa marks sasa?
Mkuu hata mm hili jambo huwa linanikela sana.
Wanajifanyaa lecture,
 
Kwa ninavojua mimi

-UCHUMI WA TAIFA UNAKUZWA NA FEDHA ZA KIGENI (FOREIGN CURRENCY)

- TAIFA LINAPATA FEDHA ZA KIGENI KWA KUTENGENEZA HUDUMA AU BIDHAA ITAKAYOWAVUTIA WAGENI WAJE WAZITAFUTE HiZO HUDUMA AU BIDHAA MF VIVUTIO VYA KITALII (HIVI NI NATURAL/ARTIFICIAL), TECHNOLOGIES NA BIDHAA MBALIMBALI AMBAZO NCHI MOJA INAWEZA ZIFATA NCHI NCHI NYINGINE.

-ILI NCHI FLAN IPATE HUDUMA AU BIDHAA KUTOKA NCHI NYINGINE ITS OBVIOUS NI LAZIMA WALIPE KURINGANA NA PRICE ILOYOSETIWA NA NCHI HUSIKA (MUUZAJI) NA THAMANI YA PESA YA NCHI HUSIKA WITH RESPECT NA THAMANI YA CURRENCY YA NCHI HIYO KATIKA SOKO LA HISA.

-ISHU KUBWA SASA NI HII, IKITOKEA NCHI HUSIKA INATOA HUDUMA AU BIDHAA AMBAYO NI ADIMU DUNIANI (scarce) BASI DEMAND YAKE ITAONGEZEKA KIMATAIFA KWAHIYO MATAIFA YATASHINDANA KIBEI KATIKA KUZINUNUA HIZO HUDUMA AU BIDHAA NA HAPA NDO UCHUMI WA NCHI HUSIKA UTAPAA VIWANGO.

-KATIKA HALI HII WHEN ALL FACTORS ARE KEPT CONSTANT, NCHI HUSIKA INAWEZA KUAMUA KWAMBA ILI MGENI APATE DAWA YA MSHIPA WA NGIRI NI LAZIMA ALIPIE KWA DOLA (KWASABAB NI STRONG CURRENCY DUNIANI) HAYA MUDA HUO DAWA HIYO INAPATIKANA TANZANIA TU DUNIANI KOTE HAPO MATAIFA YOTE YATAINGIA SOKONI KUNUNUA DOLA ILI WAPATE DAWA TANZANIA SASA HAPA NDO WINNING POINT YA TAIFA KWANI MATAIFA YATATAFUTA DOLA NA KUILETA TANZANIA ILI YAPATE DAWA HIYO, MWISHO WA SIKU TANZANIA ITAKUWA NA STOCK KUBWA YA DOLA CURRENCY AMBAYO NI STRONG NA WIDELY ACCEPTED DUNIANI KATIKA MASOKO YA HISA.

-KUWEPO KWA STOCK KUBWA YA DOLA NCHINI KUTALIFANYA TAIFA LIWEZE KUWA IMARA KATIKA SOKO LA HISA KWANI LITAKUWA LINAMILIKI KIASI KIKUBWA SANA CHA SARAFU AMBAYO NI IMARA DUNIANI.

-INAPOTOKEA DAWA HII IKAWA ADIMU ZAIDI NA IKAWA INATAFUTWA ZAIDI DUNIANI BASI MWISHO WA SIKU DOLA ZITAZID KUPUNGUA SOKONI NA HUKU ZITAZID KUONGEZEKA TANZANIA KWAHYO ZIKIPUNGUA SOKONI MAANA YAKE DEMAND YAKE ITAONGEZEKA HAPO NDO MTANZANIA ATAIRUDISHA SOKONI KUIUZA KWA BEI YA JUU KULIKO JINSI ALIVYOIPATA.

-IKISHAKUWA HIVO SASA, TAIFA LITAPATA PESA NYINGI ZA KIGENI KODI ZITAKUSANYWA ZA KUTOSHA NA ENDAPO ZIKIDHIBITIWA VIZURI NDO UTAONA MA FLY OVER NA MAGHOROFA NA MA MIUNDOMBINU YANAOTA KAMA UYOGA MWISHO WA SIKU UMASIKINI KATIKA TAIFA UNAPUNGUA KAMA SIYO KUONDOKA KABISA.

USHAURI KWA TAIFA
-KIKUBWA NI KUBUNI NI JINSI GANI TUTAZALISHA HUDUMA NA BIDHAA AMBAZO ZITAVUTA PESA ZA KIGENI DAWA NI HII TU
 
Umetoa elimu nzuri sana. Na kwa kweli nimeipenda. Lakini hukujikita katika kujibu swali husika, wala hukusema chochote kuhusu majibu niliyotoa mimi.
 
Na kama serikali ikichapisha kwa siri na kubadilisha chap chap kuwa dola, hapo imekaaje?
 
Umetoa elimu nzuri sana. Na kwa kweli nimeipenda. Lakini hukujikita katika kujibu swali husika, wala hukusema chochote kuhusu majibu niliyotoa mimi.
Kuchapisha pesa kunasababisha mgumuko wa bei na sarafu kushuka thamani sikuzungumzia hilo kwasabab ni concept nyepesi na laini sana mtu yeyote anaweza ing'amua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…