Jasusi Uchwara
Member
- Aug 12, 2021
- 64
- 117
Naomba ushangae
Wanalazimisha leve seats katika vyombo vya usafiri ambapo kiti kimoja na kingine ni sentimita kadhaa tu. Lakini hawajazuia masoko, minada shuleni, Bar, disko, huko nako vipi?
Hawa viongozi ni ashiki za kisiasa au akili zeenda likizo.?
Wanalazimisha leve seats katika vyombo vya usafiri ambapo kiti kimoja na kingine ni sentimita kadhaa tu. Lakini hawajazuia masoko, minada shuleni, Bar, disko, huko nako vipi?
Hawa viongozi ni ashiki za kisiasa au akili zeenda likizo.?