Inashangaza na kusikitisha lakini ni kweli. Serikali imekuwa ikijiita sikivu lakini nyuma ya pazia masuala mengi tu yanayohitaji public opinion kabla ya yamekuwa yakitekelezwa kienyeji.
Tozo miamala ya simu
Chanjo ya korona
Kitabu cha historia ya tanzania
Ununuzi wa ndege
SGR
endelea...
Kwa maoni yangu Serikali ya Tanzania inadharau wananchi. Iache upuuzi huu maana kizazi cha wajinga kinazidi kutoweka.
Tozo miamala ya simu
Chanjo ya korona
Kitabu cha historia ya tanzania
Ununuzi wa ndege
SGR
endelea...
Kwa maoni yangu Serikali ya Tanzania inadharau wananchi. Iache upuuzi huu maana kizazi cha wajinga kinazidi kutoweka.