[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]daaaah jfApo mwendazake kwenda kwa muumba utakuwa umekosea ..huyu marehemu sidhani kama ameeleka huko ..atakuwa tu maeneo mengine anasubiri kwenda kuzimu. Huyu kwa muumba hana chake..
Mwenyewe nilijua toka tarehe 9Siishi Tz lakini nilipata taarifa za kifo chake Mzena Hospital tarehe 9 na aliyenipa taarifa pia yuko ughaibuni nchi tofauti na ninayoishi mimi, walijaribu kuficha lakini zilivuja japo at that point in time sikuziamini.
Kabisa....hawafai narudia tena hawafaiSukuma gang bado haiamini kilichotokea,mzee baba ndo hivyo tena hayupo tena na haitatokea tena msukuma kupewa hii nchi maana imedhihirika kua HAMFAI KUPEWA DOLA!
[emoji23][emoji23][emoji23]Imepoa sana, siku hizi hata uzinduzi hamna tena kama zamani.
Halafu ngosha kila siku alikua anatuaminisha kua tupo vitani, halafu anatusisitiza kua vita ya kiuchumi ni mbaya kwerikweri.
Mi nataka kujua hii vita tulishinda, tulishindwa au bado tuko fonti raini kwenye mapambo?
Kabisa[emoji818][emoji818][emoji818][emoji818][emoji818][emoji818][emoji818]We jamaa ukikuwa Na mutual interests Na mzee baba umejaribu kujificha wee finally umeshindwa kabisa Na sasa unaonesha feeling zako wazi wazi, Muache SASHA yeye ndo dereva nao tu naelewa nyie wa ukanda ule mna Mfumo dume sana, Habari ndo iyo sasa samia ni Amiri Jeshi mkuu Na Rais
Na alijitetea kweli kweli......Kwanini Kikwete alitoa hotuba ya kujitetea msibani? Je KARMA ilikuwa kazini?
Mzee endelea kunywa mbege na kisusio..au kushabikia siasa za iran, huna unachokijua au pengine uchadema na uchaga unakupoteza.Mwendazake naye alikua jemedari?upsss!!!
🤣🤣Hana jibu,hata yeye hakujua kama Magufuli anaumwa, ilikuwa SIRI KUU,watu wachache SANA ndiyo waliokuwa wanajua kama mzee anaumwa.
Kumuuliza Hilo swali huyo Vasco da Gama wa kike ni kumuonea.