Kwanini Serikali ilituficha kuugua kwa Dkt. Magufuli?

Apo mwendazake kwenda kwa muumba utakuwa umekosea ..huyu marehemu sidhani kama ameeleka huko ..atakuwa tu maeneo mengine anasubiri kwenda kuzimu. Huyu kwa muumba hana chake..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]daaaah jf


Na kuhusu SASHA tumsamehe bure yeye mwenyewe alifichwa hadi akapangiwa na ziara za mikoani
 
Siishi Tz lakini nilipata taarifa za kifo chake Mzena Hospital tarehe 9 na aliyenipa taarifa pia yuko ughaibuni nchi tofauti na ninayoishi mimi, walijaribu kuficha lakini zilivuja japo at that point in time sikuziamini.
Mwenyewe nilijua toka tarehe 9
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kabisa[emoji818][emoji818][emoji818][emoji818][emoji818][emoji818][emoji818]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…