evangelical
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 5,035
- 8,218
🤣🤣🤣Ila jamani si aliutangazia umma?
Labda swali liwe kwa nini alichelewa kutangaza. Au kwanini hakuutangazia umma kwamba Rais ni mgonjwa na amelazwa
Hata akiulizwa atasema tu kwamba taarifa zilizotolewa na serikali zilikuwa sahihi. Ni kweli serikali yetu haiwajibiki kwa mengi. Naamini hatua sahihi ni sote tuungane tudai Katiba mpya kuanzia na Rasimu ya Warioba. Hapo angalau tutapata kigingi cha kuwawajibisha viongozi wetuNo!
We have to hold our leaders [who work for us] to account.
They have a solemn responsibility to be forthright with us.
If we let bygones be bygones, we will be giving them the license to willy-nilly take us for a ride whenever they feel like it and they can invoke that bullshit to eschew their responsibilities knowing that no one cares to know.
I’m not here for it.
Taarifa gani sahihi zilizotolewa na serikali?Hata akiulizwa atasema tu kwamba taarifa zilizotolewa na serikali zilikuwa sahihi. Ni kweli serikali yetu haiwajibiki kwa mengi. Naamini hatua sahihi ni sote tuungane tudai Katiba mpya kuanzia na Rasimu ya Warioba. Hapo angalau tutapata kigingi cha kuwawajibisha viongozi wetu
Mshkaj anatumia mfumo wa umeme ktk mtima wake zaid ya muongo na taarifa ya msiba nadhan hayo yalikua sahihTaarifa gani sahihi zilizotolewa na serikali?
Zote.. alizotoa Majaliwa, na alizotoa yeye Samia. Kwa nature ya nchi yetu, si rahisi hata waandishi wetu kukusanya ujasiri wa kumbana mama Samia kwenye kona.Taarifa gani sahihi zilizotolewa na serikali?
Ndiyo, serikali ya ccm ilikuwa madarakani, yeye akiwa makamu wa Rais, na pia yeye mwenyewe alitoa baadhi ya taarifa hizo. Hivyo anawajibika asilimia mia moja.kwani ni serikali yake ndio iliyokuwa madarakani?!...
Speaking someone who agreed on everything the deceased did!!No!
We have to hold our leaders [who work for us] to account.
They have a solemn responsibility to be forthright with us.
If we let bygones be bygones, we will be giving them the license to willy-nilly take us for a ride whenever they feel like it and they can invoke that bullshit to eschew their responsibilities knowing that no one cares to know.
I’m not here for it.
Unaona sasa!!
Kiingereza chako mgogoro!Speaking someone who agreed on everything the deceased did!!
Get outta here.
Kiswahili chako sokomoko!Kiingereza chako mgogoro!
Andika Kiswahili tu.
NoCan we let bygones be so?