J33
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 1,552
- 1,513
Suala la Mr Kuku na utapeli aliyowafanyoa Watanzania unajulikana wazi na imejadiliwa sana hapa JamiiForums.
Huyu jamaa alikamatwa na kufunguliwa kesi ya uhujumu uchumi na baadae akakiri na kuipa Serikali bilioni tano ajabu ni kwamba baada ya kutoka mahabusu aliendelea na biashara ile ile na sasa ameanza mradi mwingine wa kilimo cha mahindi ambao uelekeo wake ni ule ule kwamba unawapa 1.2M then kwa mwaka unapata 5M.
Ina maana serikali hailioni hili?
Je, hii ni mbinu ya baadae kumfungulia tena kesi na kuchukua mabilion ya Watanzania?
Sio jukumu la Serikali kuwalinda Watanzania?
Huyu jamaa alikamatwa na kufunguliwa kesi ya uhujumu uchumi na baadae akakiri na kuipa Serikali bilioni tano ajabu ni kwamba baada ya kutoka mahabusu aliendelea na biashara ile ile na sasa ameanza mradi mwingine wa kilimo cha mahindi ambao uelekeo wake ni ule ule kwamba unawapa 1.2M then kwa mwaka unapata 5M.
Ina maana serikali hailioni hili?
Je, hii ni mbinu ya baadae kumfungulia tena kesi na kuchukua mabilion ya Watanzania?
Sio jukumu la Serikali kuwalinda Watanzania?