Kwa mtazamo wangu kama non-economist nafikiri huwa hakuna absolute Free market.
It is a free market within some boundaries.
Kwa mfano, nauli ni sh 500. Hiyo ni fixed boundary, sasa within that boundary, suppliers and consumers wanatakiwa wacheze humo ndani. Consumer halazimishwi kwenda kwa supplier A au B, yupo huru kuchagua. Na supplier ambaye hawezi ku-operate ndani ya hiyo boundary naye yuko huru kujitoa.
Kusipokuwa na control ya serikali, Yafuatayo yanaweza kutokea:
1. Cartels za wafanyabiashara wataweza ku-regulate prices according to their selfish ends instead of the prices being controlled by supply and demand.
2. Serikali inaweza kushindwa kuhakiki makadirio ya wafanyabiashara hao hivyo kuathirika katika ukusanyaji kodi kutokana na kwamba wafanyabiashara muda wote watadai bei zao zilikuwa chini hata pale ambapo bei zilikuwa juu.