Kwanini serikali isichukue mkopo mkubwa tuimarishe mifumo ya gas ili tusiagiz mafuta kutokea nchi za nje?

Kwanini serikali isichukue mkopo mkubwa tuimarishe mifumo ya gas ili tusiagiz mafuta kutokea nchi za nje?

The Phylosopher

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2015
Posts
1,968
Reaction score
2,957
Nawaza tu kama raia wa kawaida na mawazo haya nimeyapata baada ya kununua dollar Moja kwa tshs 2800

Ni declare interest kwamba kwenye mambo ya uchumi mimi ni maamuma, ila wazo linajia kwamba, kutokana na ukweli kwamba bidhaa inayoongoza kwa kutumia fedha nyingi za kigeni ni mafuta

sasa kwa kuwa sisi tumejaaliwa na mwenyezi Mungu gas ya kutosha na tuna kadhia hii ya dollar kupanda mbele ya tshs kila uchao napendekeza serikali ichukue mkopo mkubwa ili kubadili mifumo yote inayotumia mafuta irekebishwe ili itumie gas.

Jambo hili litakuwa na faida kubwa sana.

Kwanza litapunguza kwa zaidi ya nusu matumizi ya fedha za kigeni

Pili itaokoa mazingira yetu kutokana na kupunguza Moshi.

Tatu tutapata fedha za kigeni maana naamini kama tukifanya vizuri bila shaka nchi jirani zitakuja kununua teknolojia na gas yenyewe na hapo Moja kwa Moja tutakuwa tumeokoa shs yetu.
 
Nawaza tu kama raia wa kawaida na mawazo haya nimeyapata baada ya kununua dollar Moja kwa tshs 2800

Ni declare interest kwamba kwenye mambo ya uchumi mimi ni maamuma, ila wazo linajia kwamba, kutokana na ukweli kwamba bidhaa inayoongoza kwa kutumia fedha nyingi za kigeni ni mafuta

sasa kwa kuwa sisi tumejaaliwa na mwenyezi Mungu gas ya kutosha na tuna kadhia hii ya dollar kupanda mbele ya tshs kila uchao napendekeza serikali ichukue mkopo mkubwa ili kubadili mifumo yote inayotumia mafuta irekebishwe ili itumie gas.

Jambo hili litakuwa na faida kubwa sana.

Kwanza litapunguza kwa zaidi ya nusu matumizi ya fedha za kigeni

Pili itaokoa mazingira yetu kutokana na kupunguza Moshi.

Tatu tutapata fedha za kigeni maana naamini kama tukifanya vizuri bila shaka nchi jirani zitakuja kununua teknolojia na gas yenyewe na hapo Moja kwa Moja tutakuwa tumeokoa shs yetu.
Angalia wafanya biashara ya mafuta ni akina nani na nguvu yao ktk ushawishi. Utashangaa gas ipo lakini bei kubwa na hakuna vituo vya kubadili mifumo ya mafuta kuwa gas,maajabu.
 
Hapa tatizo siyo fedha bali hatujapata kiongozi mwenye maono na mdhubutu.Vituo vya kujaza gesi siyo gharama sana kuviweka ispokuwa serikali kama imepuuza matumizi ya gesi.Toka wagundue gesi 2014 Hadi Leo wamejenga vituo vitatu vya kujazia gesi Dar pekee hapo utasema Kuna viongozi?vilevile magari ya serikali hakuna hata Moja ambalo limebadilishwa mfumo wa gesi,yote yanatafuna pesa za umma tu. Ukija kwenye gesi ya kupikia majumbani,waliounganishwa ni nyumba za viongozi pekee Tena baadhi hapa Dar lakini Kwa wananch wa kawaida ambao ndiyo watumiaji wakubwa wa Kuni hamna hiyo huduma.
 
Hapa tatizo siyo fedha bali hatujapata kiongozi mwenye maono na mdhubutu.Vituo vya kujaza gesi siyo gharama sana kuviweka ispokuwa serikali kama imepuuza matumizi ya gesi.Toka wagundue gesi 2014 Hadi Leo wamejenga vituo vitatu vya kujazia gesi Dar pekee hapo utasema Kuna viongozi?vilevile magari ya serikali hakuna hata Moja ambalo limebadilishwa mfumo wa gesi,yote yanatafuna pesa za umma tu. Ukija kwenye gesi ya kupikia majumbani,waliounganishwa ni nyumba za viongozi pekee Tena baadhi hapa Dar lakini Kwa wananch wa kawaida ambao ndiyo watumiaji wakubwa wa Kuni hamna hiyo huduma.
Civilization ya waarabu ina matatizo makubwa..inadumaza uwezo wa mtu kufikiri!
 
Ule mradi wa maji kutoka ziwa victoria ulianza awamu ya tatu maji yakafika Kahama na Shinyanga..miaka 10 ya awamu ya nne maji hayajafika popote, awamu ya tano ndani ya miaka 5, maji yakafika Tabora na Igunga..mnayoiita awamu ya sita huu mradi hautajwi tena, pitia bajeti ya wizara ya maji utaona, nadhani mwenye kuona mbali atagundua shida iko wapi...eti dodoma makao makuu itatumia maji ya visima..unajenga international airport Dodoma wakati mji hauna maji..ni kama nchi za waarabu tunapopata kiongozi anaefanana nao wanazuia maendeleo yetu..similar case kwenye mafuta, ipo gesi hapa, unashindwa kuelewa wakati wanatengeneza SGR kuja Dodoma walishindwa nini kuweka bomba la gesi liende sambamba na SGR hadi Dodoma ili mabus na malori yatumie gesi kuanzia Dar hadi Dodoma ili kupunguza matumizi ya petrol na diesel..inahitaji kufundishwa kufahamu jambo hili..?
 
Kila kitu ni siasa kwenye serikali yetu. Tena subiri wale wachumi wasomi wakujibu kwa hoja zao na references za uchumi kutoka kwenye vitabu vikubwa vikubwa.
 
Hapa tatizo siyo fedha bali hatujapata kiongozi mwenye maono na mdhubutu.Vituo vya kujaza gesi siyo gharama sana kuviweka ispokuwa serikali kama imepuuza matumizi ya gesi.Toka wagundue gesi 2014 Hadi Leo wamejenga vituo vitatu vya kujazia gesi Dar pekee hapo utasema Kuna viongozi?vilevile magari ya serikali hakuna hata Moja ambalo limebadilishwa mfumo wa gesi,yote yanatafuna pesa za umma tu. Ukija kwenye gesi ya kupikia majumbani,waliounganishwa ni nyumba za viongozi pekee Tena baadhi hapa Dar lakini Kwa wananch wa kawaida ambao ndiyo watumiaji wakubwa wa Kuni hamna hiyo huduma.
Nawasikia viongozi wakisema sema mambo ya gas ila kwa namna wanavyousemea haisemwi kama project kubwa inayoweza kujibu changamoto nyingi za kiuchumi tulizonazo
 
Back
Top Bottom