Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,318
- 8,464
Habari za leo ndugu wananchi, wiki chache zilizopita kumetokea mfumuko wa bei kwenye mafuta na gas.
Hivi ni kwanini serikali isitoe bei elekezi katika mitungi ya Gas kama inavyofanya kwenye mafuta ili tujue sababu za mfumuko huu wakutisha?
Maana kwenye mafuta walitwambia sababu sio wao bali ni soko la dunia, sasa kwenye gas wanatwambiaje?
Mkoa ninaoishi gas mtungi mkubwa wa kg 15 ilikuwa sh 48,000/= unaletewa mpaka nyumbani, badae wakafika 49,000/= tukaona ni kawaida, badae wakafika 53,000/= tukaanza kugugumia sasa imefika 58,000/= tukiendelea kuwachekea huenda wakaongeza na ka 2000/= kabisa iwe 60,000/=
Kwanini Serikali isitwambie changamoto ni nini? Au inataka turudi kwenye mkaa?
Hivi ni kwanini serikali isitoe bei elekezi katika mitungi ya Gas kama inavyofanya kwenye mafuta ili tujue sababu za mfumuko huu wakutisha?
Maana kwenye mafuta walitwambia sababu sio wao bali ni soko la dunia, sasa kwenye gas wanatwambiaje?
Mkoa ninaoishi gas mtungi mkubwa wa kg 15 ilikuwa sh 48,000/= unaletewa mpaka nyumbani, badae wakafika 49,000/= tukaona ni kawaida, badae wakafika 53,000/= tukaanza kugugumia sasa imefika 58,000/= tukiendelea kuwachekea huenda wakaongeza na ka 2000/= kabisa iwe 60,000/=
Kwanini Serikali isitwambie changamoto ni nini? Au inataka turudi kwenye mkaa?