Kwanini serikali ya Kenya wanakodisha uwanja wa ndege wa JKIA kwa Wahindi wa Adani?

Kwanini serikali ya Kenya wanakodisha uwanja wa ndege wa JKIA kwa Wahindi wa Adani?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Huko Kenya kuna mabishano makali ya kisiasa baada ya serikali ya Ruto kuamua kuikodishia kampuni ya Wahindi ya Adani Group uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta (JKIA) uliopo Nairobi.

Mpaka sasa haijaeleweka hasa sababu za msingi za Serikali ya Kenya kuwakodishia Adani uwanja huo ukizingatia ni mojawapo ya viwanjo vyenye huduma bora na ufanisi mkubwa kulinganisha na nchi nyingi za Africa.

Wanaharakati wamefungua kesi mahakamani ambapo Mahakama kuu ya nchi hiyo imeweka zuio la muda kwa serikali kuendelea na mchakato wa kuukabidhi uwanja huo kwa Wahindi wa Adani

20240911_074225.jpg
 
Uwanja wa Jomo kenyatta ndio Hub ya East Africa hivyo unahitaji uwekezaji mkubwa wa kuupanua uweze kupokea ndege nyingi takribani miruko 3000 kwa siku. Serikali ya Kenya haina fedha za kufanya huo uwekezaji kwa sasa na ndio sababu waka amua kutafuta mbia.

Duniani kuna viwanja vinapokea ndege hadi 15,000 kwa siku mfano LHR
 
Hata JNIA inahitaji mwekezaji.
Treni lazima tu atapewa mwekezaji
 
Uwanja wa Jomo kenyatta ndio Hub ya East Africa hivyo unahitaji uwekezaji mkubwa wa kuupanua uweze kupokea ndege nyingi takribani 3000 kwa siku. Serikali ya Kenya haina fedha za kufanya huo uwekezaji kwa sasa na ndio sababu waka amua kutafuta mbia.
Duniani kuna viwanja vinapokea ndege zaidi ya 15,000 kwa siku mfano LHR
🤣🤣🤣 3000/=!
 
Naomba hata hapa bongo ikiwezekana mamlaka husika ya kusimamia viwanja vya ndege wapewe wawekezaji ila wafanyakazi wabaki kama Dp world walivyofanya ...Ufanisi utaongezeka na maslahi kwa wafanyakazi yatakuwa makubwa ..
 
Kwahiyo sisi Waafrika tumeshindwa kuendesha tumebakia kuiba tu?!
 
Hawa ndio wawekezaji?
Afadhali ya mkoloni kuliko hawa viumbe

Well done Kenyans wasiwatanie

Huku wameuza kabsaaaa but karibu kunakucha wataurejesha uwanja wa KIA.
 
Back
Top Bottom