Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,085
- 4,890
Soko la Karume limeungua na Serikali imeunda tume na imetoa siku 14 tume itoe majibu ya uchunguzi wake.
Kabla ya tume kutoa majibu tayari tumeanza kusikia Serikali ikikana kuhusika kuchoma moto.
Kama haitoshi tumeanza kusikia eti mateja ndio wamechoma moto.
Je, kwanini Serikali inasema haihusiki kabla ya tume?
Kwanini tunaambiwa mateja ndio wamechoma kabla ya tume?
Nilitarajia kama Serikali haihusiki ingesema hayo kwenye tume.
Na kama ni mateja wamechoma yangesemwa hayo kwenye tume ili taarifa ya tume ndio tuisikie.
Kabla ya tume kutoa majibu tayari tumeanza kusikia Serikali ikikana kuhusika kuchoma moto.
Kama haitoshi tumeanza kusikia eti mateja ndio wamechoma moto.
Je, kwanini Serikali inasema haihusiki kabla ya tume?
Kwanini tunaambiwa mateja ndio wamechoma kabla ya tume?
Nilitarajia kama Serikali haihusiki ingesema hayo kwenye tume.
Na kama ni mateja wamechoma yangesemwa hayo kwenye tume ili taarifa ya tume ndio tuisikie.