wakuu ni hoja ndogo hapa eti kwa nini pesa za sherehe kama,harusi,send off na kitchen party hazilipiwi kodi TRA? wakati pesa zake zinachangiwa na watu /umma? ni pesa za umma hizo,why?
TRA wanatoza kodi mapato yanayokuwa faida, sio matumizi.
kamuulize riz 1
Kodi si inalipwa kutokana na huduma mbalimbali kama chakula,MC nk.Sasa kama TRA hawakusanyi huko basi kuna shida
Onesha picha nasi tuige,
Unajua nini maana ya Umma?
Wakuu ni hoja ndogo hapa;
Eti kwanini pesa za sherehe kama, harusi, send off na kitchen party hazilipiwi kodi TRA? Wakati pesa zake zinachangiwa na watu/umma?
Ni pesa za umma hizo, why?