Kwanini Shilingi inazidi kupoteza thamani yake dhidi ya Dola?

PLATO_

Senior Member
Joined
Jan 25, 2020
Posts
116
Reaction score
230


Kipindi nipo chuo miaka miwili iliyopita nilikuwa naona USD inacheza kwenye Tsh2300 hivi lakini hivi sasa Dollar imepanda sana. Hii inamaana gani kwenye uchumi wetu?

Kwanini Shilingi inadhidi kupoteza Thamani yake dhidi ya Dollar?

Labda tuseme uchumi unakuwa kwa maana hiyo hata Garama za maisha sasa hivi zipo juu, Je wafanyakazi mlio ajiriwa Mmeongezewa mshahara huko kulingana na hali ya maisha ya sasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…