Nashangaa kwa nini Huyu mtu anaiburuza hii wizara kiasi hicho? mbona hao wakristo na waislam wakiwa na shuguli zao za kawaida tu huku mtu haijalishi siku muda wote utawaona wakiruka ruka.
wabudha wanasali asali alhamis basi na alhamisi azuie, wakrito wengine husali jpili na jtano nazo zizuiwe kufanywa mitihani, kama ni mitihani ifanyike jtatu na jnne tu.
Huyu waziri anatakuwa kujua utanzania ni zaidi ya uislam na ukristo, huwezi endesha ofisi za umma kwa idiology za kidini ni kuharibu taifa.
Akina mkwawa,kinjekitile,mangi ,isike ambao ni wazee wetu walipiginia taifa hili kabla hata kufikiwa na hizo dini.Utawala huu wa awamu ya nne umekuwa kituko sana hasa kutokea viongozi ambao ni religious minded people badala ya watu wanaojali utaifa.
wabudha wanasali asali alhamis basi na alhamisi azuie, wakrito wengine husali jpili na jtano nazo zizuiwe kufanywa mitihani, kama ni mitihani ifanyike jtatu na jnne tu.
Huyu waziri anatakuwa kujua utanzania ni zaidi ya uislam na ukristo, huwezi endesha ofisi za umma kwa idiology za kidini ni kuharibu taifa.
Akina mkwawa,kinjekitile,mangi ,isike ambao ni wazee wetu walipiginia taifa hili kabla hata kufikiwa na hizo dini.Utawala huu wa awamu ya nne umekuwa kituko sana hasa kutokea viongozi ambao ni religious minded people badala ya watu wanaojali utaifa.