Kwanini shule za kiislamu hazifanyi vizuri katika mitihani ya taifa?

.non sense, hao wakristo majority of them are not serious christians, wapo busy na Elimu Dunia seriously, hata uislam hawauelewi zaidi ya kujua tu kuwa waumini wanao abudu ijumaa😁
 
Kuna ile Ubungo Islamic school matokeo yanasikitisha, na cha shangaza uwezi ukaona inakosa wanafunzi, licha ya matokeo kuwa mabovu lakin badoo ina wanafunzi wengi sana
Lengo la elimu sio watu kukalili kisha wakajifunza uzinzi,ulevi,usagaji,ushoga,ubinafsi na majivuno yasiyo na kikomo
Na ndio maana hio shule Haina matokeo kama St Francis ama Marian ina Kila mwaka inajaza wanafunzi mara2 ya hizo shule na sio kama wenye wazazi hawana pesa.
Unajua kua miji ya kwanza Tanzania ilikua ni ya waislam hata haap Dar,nenda Magomeni,Tandika,Upanga etc
Waislma sio washamba wa elimu,kua wasome ili waje kutia Saini ya madini 16%,kwa miaka 100,.......ndio maan Samia suluhu hata iweje hawezi Saini mkataba anaosaini bara kule Zanzibar πŸ˜ƒπŸ˜πŸ˜πŸ˜
 
Makobaz yataendelea kudumaa mpaka siku yataujua ukweli.
Nchi yenu Kenya 1/3 ya Pato Nairobi, inatoka kimtaa kimoja tu cha wasomali, Asante kobazi.

Hapa Tanzania Walipa kodi wakubwa ni hao waisilamu na makampuni makubwa ya Nje, Asante kobazi.

Kama huko ndio kudumaa basi wacha waisilamu waendelee kudumaa, we endelea kujaza server JF ndio jambo pekee siku ukifa utajivunia.
 
..Saudi, ni Wajanja wame procure expertise na technology kwa christians (the west), na Yuko protected na makafiri USA and it's allies😁
 
O
Okay, nimekuelewa sasa, i.e watoto wa kiislam wako best spiritually, and the education provided ni more preparedness for dooms day and after life, mfumo unakosea sana eti kuwa rate wanafunzi kwa mambo ya kidunia (matokeo ya mitihani ya kidunia), now it makes sense.
 
Nami nimetaka kujua! How Mfumo Kristo unasababisha tatizo Hilo?
Kuna wakati humu ukirudi Jamiiforums ya miaka 13 nyuma (2012 to 2017) mlikuwa na watu wanaaminishana huu ujinga eti kwamba kuna maaskofu walikuwa wanakaa na NECTA wanaamua nani ktk wafaulu apite na nani asipite kwa kuzingatia dini zao.

Inafurahisha leo watu wameanza kujifunza na kuelewa madhaifu yao taratibu taratibu,naamini ipo siku watakaa kwenye mstari stahiki.
 
Morogoro Muslim University haipo chini ya BAKWATA lakini ni moja ya vyuo vya hovyo Tanzania na kusini mwa Jangwa la Sahara.
 
Morogoro Muslim University haipo chini ya BAKWATA lakini ni moja ya vyuo vya hovyo Tanzania na kusini mwa Jangwa la Sahara.
I suspect "mfumo kristo" ni culprit wa kuididmiza Moro University, OMGπŸ˜‡
 
Kama ishu ni kuchuja sana unataka kusema wanaosoma ktk shule zote za kiislamu nchi nzima hakuna hata wawili watatu wanaoweza kuziinua hizo shule kiufaulu?

Maana usiniambie wote wanaosoma huko ni wale waliokataliwa na shule za kikakotoliki kwamba maks zao hazijitoshelezi.....sitakuelewa!!!
 
πŸ˜‡πŸ€£πŸ€£OMG!
 
Watasema Elimu Akhera ndio ya muhimu
 
Akili fupi sana imeandika haya,hivi unawaza sawasawa kweli wewe?
 
Mfumo kristo, tumeshaambiwa!
 
Morogoro Muslim University haipo chini ya BAKWATA lakini ni moja ya vyuo vya hovyo Tanzania na kusini mwa Jangwa la Sahara.
Morogoro Muslim si chuo chenye Hadhi kama Udsm ama Mzumbe etc ila ukitaja vyuo vya Hovyo Nchi hii hata 100 hiko hakipo.
 
Morogoro Muslim si chuo chenye Hadhi kama Udsm ama Mzumbe etc ila ukitaja vyuo vya Hovyo Nchi hii hata 100 hiko hakipo.
Serious unaweza kumpeleka mwanao Morogoro Muslim University ?.

Hivi unafahamu MMU wanafunzi wanakula bakora kama Wanafunzi wa Primary school !.

Hivi unajua kwamba MMU ndio chuo kinachoongoza kwa uchafu Africa Mashariki.
 
Sababu kuu ya Shule za Kiislamu kufeli ni Waislamu wengi wanaamini kuwa Elimu inayofundishwa Mashule ni Elimu Dunia na Wao wanaamini kuwa Elimu Dunia haina Umuhimu zaidi ya Elimu ya Akhera na hili jambo si sahihi na Mentality hii ni ya Muislamu asiyeitambua Dini wala kusoma . Simple Waislamu wote warejee Aya 5 za Sura ya kwanza Kushushiwa Mtume kuna (Iqra 2) namaanisha kuna amri ya "Soma" imetokea mara mbili na hapa ukichimba zaidi utapata maana.
Dunia Bila Elimu ni Kiza kilichotandana kila Mahala. Elimu Akhera ni Mwanga wa kuondoa Giza hilo. Wakati hiyo Elimu ya Dunia kwa wengi wanavoiita ni Utambuzi wa kila kinacho onekana baada ya Mwanga. So Kutukuza Elimu moja na kuikataa Elimu moja ni jambo mbaya sana.
 
Sisi tupe ubwabwa maharage tucheze madufu, habar za kielimu na uchumi baki navyo nyie walokole
 
Samia sio mtawala halisi ni rais wa mpito hakuna angeweza kumchagua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…