gammaparticles
JF-Expert Member
- Jan 9, 2024
- 1,407
- 3,855
kila zama na kitabu chakeNafuatilia msiba wa Rais Ali Hassan Mwinyi.
Watu wengi wamemzungumzia. Mengi yamesemwa juu yake.
Lakini moja ambalo nimeliona limekosekana ni ule utambulisho wa Dkt.!
Katika maisha yake yote ya uongozi, Rais Mwinyi hakuwahi kupewa shahada ya udaktari wa heshima kama ilivyokuwa kwa aliyemtangulia na waliokuja nyuma yake?
Sijawahi kuona wala kusikia popote pale Rais Mwinyi akitambulishwa kama Dkt. Ali Hassan Mwinyi.
Hiyo ni kwa nini? Hakupewa hiyo shahada ya heshima? Alipewa hiyo shahada ya heshima lakini kwa vile hakuwa mpenda makuu, hakuona umuhimu wa kuutanguliza huo utambulisho na hivyo kuwafanya watu wengine nao kutokumtambulisha kwa huo utambulisho?
Au hatambulishwi hivyo kwa sababu watu walio wengi hawajui kama alipewa hiyo shahada ya heshima?
Najua marais Nyerere na Mkapa walikuwa na hizo shahada za heshima lakini ilikuwa ni nadra sana kusikia au kuona Dkt. Julius Nyerere au Dkt. Benjamin Mkapa.
Ila kuanzia Kikwete kuja mpaka hivi sasa, kila mtu ni Dkt. so and so……
Ila mambo yanatofautiana sana. Sasa unaambiwa bila kukopa huwezi kupata maendeleo. Sikajua kama huyo anaekopesha nae anakopa wapiKwa kifupi sana
Mzee Mwinyi katika Maisha yake hajawahi kukopa
Udaktari wa Heshima ni Sawa tu na mkopo 😂
Hata Rais mstaafu wa Zanzibar, Karume, sikumbuki kama nilishawahi kusikia akiitwa Dkt. Karume, ingawa na yeye alishazawadiwa udakatri, kama sijakosea.Nafuatilia msiba wa Rais Ali Hassan Mwinyi.
Watu wengi wamemzungumzia. Mengi yamesemwa juu yake.
Lakini moja ambalo nimeliona limekosekana ni ule utambulisho wa Dkt.!
Katika maisha yake yote ya uongozi, Rais Mwinyi hakuwahi kupewa shahada ya udaktari wa heshima kama ilivyokuwa kwa aliyemtangulia na waliokuja nyuma yake?
Sijawahi kuona wala kusikia popote pale Rais Mwinyi akitambulishwa kama Dkt. Ali Hassan Mwinyi.
Hiyo ni kwa nini? Hakupewa hiyo shahada ya heshima? Alipewa hiyo shahada ya heshima lakini kwa vile hakuwa mpenda makuu, hakuona umuhimu wa kuutanguliza huo utambulisho na hivyo kuwafanya watu wengine nao kutokumtambulisha kwa huo utambulisho?
Au hatambulishwi hivyo kwa sababu watu walio wengi hawajui kama alipewa hiyo shahada ya heshima?
Najua marais Nyerere na Mkapa walikuwa na hizo shahada za heshima lakini ilikuwa ni nadra sana kusikia au kuona Dkt. Julius Nyerere au Dkt. Benjamin Mkapa.
Ila kuanzia Kikwete kuja mpaka hivi sasa, kila mtu ni Dkt. so and so……
Unafahamu hata Mbunge wa Geita vijijini, Msukuma, sasa hivi naye anaitwa Dkt. Joseph Kasheku Msukuma?Nafuatilia msiba wa Rais Ali Hassan Mwinyi.
Watu wengi wamemzungumzia. Mengi yamesemwa juu yake.
Lakini moja ambalo nimeliona limekosekana ni ule utambulisho wa Dkt.!
Katika maisha yake yote ya uongozi, Rais Mwinyi hakuwahi kupewa shahada ya udaktari wa heshima kama ilivyokuwa kwa aliyemtangulia na waliokuja nyuma yake?
Sijawahi kuona wala kusikia popote pale Rais Mwinyi akitambulishwa kama Dkt. Ali Hassan Mwinyi.
Hiyo ni kwa nini? Hakupewa hiyo shahada ya heshima? Alipewa hiyo shahada ya heshima lakini kwa vile hakuwa mpenda makuu, hakuona umuhimu wa kuutanguliza huo utambulisho na hivyo kuwafanya watu wengine nao kutokumtambulisha kwa huo utambulisho?
Au hatambulishwi hivyo kwa sababu watu walio wengi hawajui kama alipewa hiyo shahada ya heshima?
Najua marais Nyerere na Mkapa walikuwa na hizo shahada za heshima lakini ilikuwa ni nadra sana kusikia au kuona Dkt. Julius Nyerere au Dkt. Benjamin Mkapa.
Ila kuanzia Kikwete kuja mpaka hivi sasa, kila mtu ni Dkt. so and so……
Dili kivipi mkuu? Labda kwa "wajinga" tu!Udokta zama hizi ni dili sana!
AlhajiNa wala hatambulishwi kama "Maalim Ali Hassan Mwinyi" ilhali taaluma yake ya kwanza ni huo ualimu.
ANa udaktari wa Heshima kama minne hivi ila sio mpenda shobo 🤣🤣Kwa kifupi sana
Mzee Mwinyi katika Maisha yake hajawahi kukopa
Udaktari wa Heshima ni Sawa tu na mkopo 😂
Back then hawakupenda kujikweza, kizazi cha kina A.Mwinyi na J.K.Nyerere kilikuwa na maslahi ya nchi, nchi na jamii before all. So hawakuwa na ego even though wangeamua kuwa nazo wangezipata. Lakini pia by then PHD hazikupatikana kirahisi, ilikuwa lazima usote kweli kweli. Siku izi wana nunuaNafuatilia msiba wa Rais Ali Hassan Mwinyi.
Watu wengi wamemzungumzia. Mengi yamesemwa juu yake.
Lakini moja ambalo nimeliona limekosekana ni ule utambulisho wa Dkt.!
Katika maisha yake yote ya uongozi, Rais Mwinyi hakuwahi kupewa shahada ya udaktari wa heshima kama ilivyokuwa kwa aliyemtangulia na waliokuja nyuma yake?
Sijawahi kuona wala kusikia popote pale Rais Mwinyi akitambulishwa kama Dkt. Ali Hassan Mwinyi.
Hiyo ni kwa nini? Hakupewa hiyo shahada ya heshima? Alipewa hiyo shahada ya heshima lakini kwa vile hakuwa mpenda makuu, hakuona umuhimu wa kuutanguliza huo utambulisho na hivyo kuwafanya watu wengine nao kutokumtambulisha kwa huo utambulisho?
Au hatambulishwi hivyo kwa sababu watu walio wengi hawajui kama alipewa hiyo shahada ya heshima?
Najua marais Nyerere na Mkapa walikuwa na hizo shahada za heshima lakini ilikuwa ni nadra sana kusikia au kuona Dkt. Julius Nyerere au Dkt. Benjamin Mkapa.
Ila kuanzia Kikwete kuja mpaka hivi sasa, kila mtu ni Dkt. so and so……
Sheikh Mkuu..Sasa hivi Dr ni swala la kisiasa na uchawa, leo nimesikia hata shekh mkuu wa bakwata akiitwa Dr sijui kasoma lini na wapi
Ni Daktari by Proffesional ni Daktari wa Binadamu hiyo huwa haifutiki hata kidogoSasa huyu mwanae mbona anapendaaa tumuite Dr.
Nyerere PhD 21, Mkapaa anazo kibao na Mwinyi anazo nne kama sio 5..Hili limeanza wakati wa Kikwete. Kuanzia kipindi chake ndipo ''madaktari'' walipoanza kumea kama uyoga. Nyerere alikuwa hana huu ujinga. Mwinyi na Mkapa pia.
Bora ipi yakupewa kwenye sahani hadharani au ya kudanganya na kuhonga maprofesa kama ya Magufuli?Kiukweli mtu kujitambulisha kwa PhD ya kupewa kwenye sahani namuona kama ana changamoto kichwani.
Ila kuanzia Kikwete kuja mpaka hivi sasa, kila mtu ni Dkt. so and so……Nafuatilia msiba wa Rais Ali Hassan Mwinyi.
Watu wengi wamemzungumzia. Mengi yamesemwa juu yake.
Lakini moja ambalo nimeliona limekosekana ni ule utambulisho wa Dkt.!
Katika maisha yake yote ya uongozi, Rais Mwinyi hakuwahi kupewa shahada ya udaktari wa heshima kama ilivyokuwa kwa aliyemtangulia na waliokuja nyuma yake?
Sijawahi kuona wala kusikia popote pale Rais Mwinyi akitambulishwa kama Dkt. Ali Hassan Mwinyi.
Hiyo ni kwa nini? Hakupewa hiyo shahada ya heshima? Alipewa hiyo shahada ya heshima lakini kwa vile hakuwa mpenda makuu, hakuona umuhimu wa kuutanguliza huo utambulisho na hivyo kuwafanya watu wengine nao kutokumtambulisha kwa huo utambulisho?
Au hatambulishwi hivyo kwa sababu watu walio wengi hawajui kama alipewa hiyo shahada ya heshima?
Najua marais Nyerere na Mkapa walikuwa na hizo shahada za heshima lakini ilikuwa ni nadra sana kusikia au kuona Dkt. Julius Nyerere au Dkt. Benjamin Mkapa.
Ila kuanzia Kikwete kuja mpaka hivi sasa, kila mtu ni Dkt. so and so……
[emoji23][emoji23][emoji23]Kwa kifupi sana
Mzee Mwinyi katika Maisha yake hajawahi kukopa
Udaktari wa Heshima ni Sawa tu na mkopo [emoji23]