Kwanini si Karume ni Nyerere linapokuja swala la Muungano

Kwanini si Karume ni Nyerere linapokuja swala la Muungano

shingta

Senior Member
Joined
Jan 27, 2014
Posts
101
Reaction score
17
Wadau kwanini linapokuja swala la Muungano anazungumziwa Mwl Nyerere pekee na sio Abeid Karume? Nikweli Karume alitaka kuuvunja Muungano na hilo lilijulikana ikapangwa mipango akauliwa kabla hajahutubia taifa la Zanziba kuuvunja Muungano? kuna habari kuwa karume alishawi sema muungano ni kama koti likikubana unalivua. Basi zanzibar hawakuutaka muungano toka mwanzo na historia itatuhukumu tu.
 
Mkuu Umeuliza Swali Zuri Sana, Am Sure Watu Wengi Sana Wanataka Kufahamu Kwa Nn Linapozungumziwa Swala La Muungano Mawazo Ya Karume Hayazungumziwi ?

Napita Tu For Nw, Nasubria Michango Zaidi Kutoka Kwa Wenye Ufahamu Juu Ya Hili. Nitarudi Baadae.......!!!!!!
 
Mawazo ya Karume si serikali moja - Nyerere Rais yeye Makamu! Mbona yako wazi.
 
Back
Top Bottom